dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #81
Mkuu una point uzikilizweNi ngumu maana mteja hana nguvu, hajataftwa kaja mwenyewe, hii ya kufuata wateja mbaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una point uzikilizweNi ngumu maana mteja hana nguvu, hajataftwa kaja mwenyewe, hii ya kufuata wateja mbaya sana.
Mfungulie office,usizizime ndoto zakeYes Kama atabisha hili Basi namfukuza arudi kwenu Tena huyu mke wangu Ni wa Huko kwenu simiyu
Ila nisijudake maameTutamla tu ata kama ukimpiga marufuku kutembeza juice.
We kabila gani mkuu🤣Mkuu una point uzikilizwe
Mgeshagee wa kukaya....Yes Kama atabisha hili Basi namfukuza arudi kwenu Tena huyu mke wangu Ni wa Huko kwenu simiyu
It depends eneo na nini kinauzika sana, mbona hata juice fresh tu sema asiwe yeye ndo anafuata wateja mkuu ataliwa nakwambiaAisee very risk Sasa sijui nimpe bisnes gani hata ya one m akauze
Sa pole ya nini? Wakati ana mke mpambanaji?Pole mkuu
Sana kwa kweli sikuficha amebarikiwa haswa Hadi naogopa ingawa hajawai nionesha dalili zozote mbaya Sasa labda hi juice ndio ataonesha makucha yakeMgeshagee wa kukaya....
Namm naamini Hilo lzma atapigwa kwa juwa hili na alivyo na wowo sijui kwa kweliIt depends eneo na nini kinauzika sana, mbona hata juice fresh tu sema asiwe yeye ndo anafuata wateja mkuu ataliwa nakwambia
Nakanamba kasimu ili kuomba huduma ya juiceWeka picha yake
Hili Ndilo Wazo.Zuri sana.Muachie tu tena ili mkuze biashara na wewe beba baadhi ya madumu ukauzie hapo shule kazini kwako.
Ikibaki jioni na wewe unaingia street kutafuta wateja.
Kama wa kupigwa atapigwa tu hata akiwa na ofisi, mda wa kufata matunda anapitia huko anapigwa na kuongezewa mtaji.Namm naamini Hilo lzma atapigwa kwa juwa hili na alivyo na wowo sijui kwa kweli
A woman is like a kid. One day utakuja ku-realize. No matter how she is!Kwani yeye hajitambui ??
Once a whore always a whore.
Umesema ana mke mto/mbanaji?Sa pole ya nini? Wakati ana mke mpambanaji?
Atauza juisi ya matunda halafu atauza na juisi ya tunda, stuka usingizini.Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya