dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #41
Duh nimeogopa hatariPiga marufuku haraka iwezekanavyo, watamfanya kitafunwa
Bora angekuwa na ofisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nimeogopa hatariPiga marufuku haraka iwezekanavyo, watamfanya kitafunwa
Bora angekuwa na ofisi
uliona wapi anayejitambua mbele ya helaKwani yeye hajitambui ??
Once a whore always a whore.
Hiyo Safi San mkuuMwache tu apambane kama kipato hakitoshi,kuhusu kuchapiwa mimi naona akiwa idle ndio anakuwa na muda mzuri wa kuchapwa kuliko akiwa bize.
Hapa sijui itakuwaje"juice zako ni tamu sana!nahis na wewe ni mtamu hivo Ivo,kwanini nisiuonje utamu wako na hii laki moja!!?mistari mizito Toka Kwa wakware hiyo!!?atachomoka!!?
Sijui nimfukuze tuuliona wapi anayejitambua mbele ya hela
Ndio jibu la swali langu.uliona wapi anayejitambua mbele ya hela
Mishahara ya private nadhani mnaelewaWalimu mnamaisha magumu sana kwa kweli
Halafu hivi kuna mtu anaogopa kuchapiwa siku hizi, maana sidhani kama kuna mwanamke mtaakaa miaka na miaka asionje nje? Hili likae kwa kila mwanaume wanawake wanachepuka sana tu ni vile mume unakuwa hujui .Hiyo Safi San mkuu
SAS mzee ushauri gani huoUkimkataza watakulalua ma malkia wa nguvu!
Cha kufanya ni kutenga bajet ya dumu lake kila akitoka unamtuma mtu ananunua lote, anarud zizini bila hiyana!
Kwahiyo lile wazo lako la 200k ndio hilo la kuuza juice mkuu😡Sijui nimfukuze tu
Ukimruhusu utampoteza.Mzee wangu mke kabarikiwa San mkuu hata wee lzm umtongoze
Hilo Ni sawaaHalafu hivi kuna mtu anaogopa kuchapiwa siku hizi, maana sidhani kama kuna mwanamke mtaakaa miaka na miaka asionje nje? Hili likae kwa kila mwanaume wanawake wanachepuka sana tu ni vile mume unakuwa hujui .
Alfu huku tulikuwa ujenzi unafanyika snaUkimruhusu utampoteza.
Kuna mafundi site huko kama wanadawa siku 2 tuu kaliwa
bado tutamla tu ata akimfungia ghetto.Siyo kupiga tuu marufuku alafu ukae kimnya ,Tena ikiwezekana hayo ma vyombo yake anayouzia juice ya tupe na juice imwage kabisa utakuja nishukuru baadae
Sawaa mkuu alfu eti akimaliza huyo mbionyuko sokoni kwemda kuhemea matunda mengine kweli kipato hakitishoSiyo kupiga tuu marufuku alafu ukae kimnya ,Tena ikiwezekana hayo ma vyombo yake anayouzia juice ya tupe na juice imwage kabisa utakuja nishukuru baadae
Pole sanaAlfu huku tulikuwa ujenzi unafanyika sna
Ila nisikukamatebado tutamla tu ata akimfungia ghetto.