Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
Napenda sana juice, nipe namba yake niweke order
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiri kwanza aliwe kimasiharaMm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana
Kukuvutia wewe siyo kutuvutia na sisiMm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana
Ana wezere?Lita 10 bei gani tununue yote muda wa kuzurura akapunge upepo
Juice ipi.Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana
Linavutia likiwa tu kwa nguoAna wezere?
Hyo pesa Sina nimepeleka kwenye ujenziHyo Mfungulie minimaketi😁
OkayHyo pesa Sina nimepeleka kwenye ujenzi
Weka picha Wahuni tumthaminishe utamu wa Juice yake ulivyoMke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana
Mzee wangu mke kabarikiwa San mkuu hata wee lzm umtongozeJuice ipi.
Angalia vizuri usikute juice juice.
Siku hizi wajanja sanapa
Ana wezere?mzeee
ila walimu na sabab za ujenzi ni ivi 🤞🏾Hyo pesa Sina nimepeleka kwenye ujenzi
Parachichi na matunda mengineWeka picha Wahuni tumthaminishe utamu wa Juice yake ulivyo
Sawa Mkuu. Nirushie picha yake WhatsAppMzee wangu mke kabarikiwa San mkuu hata wee lzm umtongoze
Mzee anavutia hata weww mwenyewe lzm udateLinavutia likiwa tu kwa nguo
Siwezi fanya Hilo hakn ushauri basiSawa Mkuu. Nirushie picha yake WhatsApp
Acha biashara itakua chapMzee anavutia hata weww mwenyewe lzm udate