fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Utato mbe waOya, hivi kwa week inatakiwa kutiana mara ngapi coz naona wife anataka kunifanya kuwa sex machine yake?
Yani kila akigeuka tu anataka mpini hajui kuwa me nakua nimechoka sometimes..
Nifanyaje ili kumpunguza speed?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app