Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto raha sanaLast weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
kesho mletee viatu vya maana sana, mwambie tu mke wangu, hebu jaribu hivi kama vitakutosha, nimevipenda kweli, vikikutosha nikalipie,Last weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
Kweli ulibugiLast weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
Mshauri alale na jeans na mkanda maana ataamka akute mke wake ambemkata hizo balls.Mwambie sio wewe, kamwe usikubali kukubali ukweli ukifumaniwa.
View attachment 3176022
Hannah wakuongezee bia tano halafu waweke ile nyimbo ya kichikichi ft msaga sumu😆Mshauri alale na jeans na mkanda maana ataamka akute mke wake ambemkata hizo balls.
Umenena sana mbinu Moja wapo hiikesho mletee viatu vya maana sana, mwambie tu mke wangu, hebu jaribu hivi kama vitakutosha, nimevipenda kweli, vikikutosha nikalipie,
Atashusha tabasamu la maana sana aise na utakua umesolve hiyo issue kisayansi zaidi 🐒
Mara ya mwisho kupokea ofa ya hivi nililewa nikaaza kucheza hadi nikapanda juu ya meza. Sasa leo sijui itakuwaje😂😂Hannah wakuongezee bia tano halafu waweke ile nyimbo ya kichikichi ft msaga sumu😆