min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hahahahaa kumbe😁😁😁Mara ya mwisho kupokea ofa ya hivi nililewa nikaaza kucheza hadi nikapanda juu ya meza. Sasa leo sijui itakuwaje😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa kumbe😁😁😁Mara ya mwisho kupokea ofa ya hivi nililewa nikaaza kucheza hadi nikapanda juu ya meza. Sasa leo sijui itakuwaje😂😂
😂😂😂Mshauri alale na jeans na mkanda maana ataamka akute mke wake ambemkata hizo balls.
😂😂😂Mshauri alale na jeans na mkanda maana ataamka akute mke wake ambemkata hizo balls.
😂😂
kampakate na yeyeLast weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
Yes,Umenena sana mbinu Moja wapo hii
Mwache anune kama jasiri atachukua vilago ataenda zakeLast weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
Na kuja bar nani kamruhusu kwanza?Tatizo kubwa hapo ni wife kurudi bila kukupa taarifa na kapata na wageni.
Solve kwanza hilo, hili ni dogo tuu.
Mpakate yeye, kesi itakuwa closed.Last weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
Unasemaa !?!Utoto raha sana
Ndiyo🤣🤣Hahahahaa kumbe😁😁😁
Tuwekee picha ili tuthibitisheLast weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
Hivi inakuwaje mtu mwenye akili anajidhalilisha kwa Mabar Maid?Last weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona.
Nasolve vipi hii ngoma wakuu?