Wife kaninunia kisa hiki

Na bado tukisema MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI...

Kuna wana jeiefu watakuja juu...
 
Mkuu hebu fanya kunifinyia namba yake kistaili nikusaidue kuweka mambo vizuri chap..
 
Yanii mwanamke anakupangia mpaka kinyoa mavuzi? Mnajua kupenda aise Kwanza Mimi nilijifundisha kujitegemea tokea mdogo nafanya usafi wangu mwenyewe na sihitaji msaada wa mke

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, kabla ya ndoa nani alikuwa anakunyoa? Haya mabomu tunayoyatengeneza wenyewe ni vema tukajua namna ya kuyategua.
 
hii ipeleke kanisani
 
Simple , yarudishe hayo manywele sehemu yake.
Kwisha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…