tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
ππππππππMbona unavaa suti ya mtumba mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππMbona unavaa suti ya mtumba mkuu?
Ungesubiri ukue kwanza ndo uoe majaaLast week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?
View attachment 2215896
View attachment 2215897
View attachment 2215898
Mkaushie mwamba.. kapuyanga hapa.. kuna ukwel usio kwel hapaKwa kweli maana jf siku hizi watu wanatuchota sana [emoji1][emoji1]
Pole pombe zilikuponza ila hizo picha hata kama ningekuwa n mm ningenuna[emoji3062]we mwambie tu sio ww n pombe[emoji23]au mwambie shetani alinipitia[emoji16][emoji16]Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?
View attachment 2215896
View attachment 2215897
View attachment 2215898
π€£π€£π€£Mbona unavaa suti ya mtumba mkuu?
Ila mwamba inaonekana pombe zilikuwa zishashuka chini mana jinsi umevyomguard huyo mtoto[emoji23][emoji23]Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?
View attachment 2215896
View attachment 2215897
View attachment 2215898
Halafu mrembo kushinda mkeoMwanamme unatakiwa kuwa na ushawishi kiasi uweze kuwa na mke wako hapo ukumbini na ukacheza na mwanamke mwingine bila tabu.
If it's just a dance.
Tatizo wewe unakwenda kwenye harusi bila mke wako, halafu unacheza na mwanamke mwingine.
Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?
View attachment 2215896
View attachment 2215897
View attachment 2215898
Halafu mkeo akusifie kwamba umecheza na mwanamke mrembo.Halafu mrembo kushinda mkeo