Wife kanuna baada ya kuona hizi picha zangu nikicheza kwenye harusi ya jamaa yangu

Wife kanuna baada ya kuona hizi picha zangu nikicheza kwenye harusi ya jamaa yangu

Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.

So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?

View attachment 2215896

View attachment 2215897

View attachment 2215898
Hii harusi nimeiona Instagram kwenye page ya Haikalawere
 
Back
Top Bottom