Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni baada ya kuoana ila kabla ujamuoa alikuwa.na hizo tabia,!Mbona nilipokua bongo hakua hivyo?
Kumchunga ukiwa mbali ni ngumu, kikubwa ukirudi hakikisha unampima vipimo vyote kabla hujaanza tena kumla. By vipimo vyote namaanisha ngoma, mimba, homa ya ini, marinda etcNiko mjini Dublin-Ireland kikazi,so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.
Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.
Leo siku nzima hajanitafuta,jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute,akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.
Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach,nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.
Je wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Uncle yupi mkuu?
Uliza wanao!Uncle yupi mkuu?
Hizo pounds umezipata wapi?Niko mjini Dublin-Ireland kikazi, so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.
Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.
Leo siku nzima hajanitafuta, jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute, akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.
Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach, nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.
Je wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Mkuu, mke umpime marinda kwa vidole viwili!! Vikiingia bila pingamizi maamuzi ni?Kumchunga ukiwa mbali ni ngumu, kikubwa ukirudi hakikisha unampima vipimo vyote kabla hujaanza tena kumla. By vipimo vyote namaanisha ngoma, mimba, homa ya ini, marinda etc
🤣🤣🤣🤣🤣 Kuoa kumekuwa rahisi sana.Hizi ndoa za siku hizi mmmh
Nadhan hosp wana vipimo vizuri, mbona afande mzenji alipimwa ikaonekana kuna nyama ngumu imeingizwa kule mahala🤣Mkuu, mke umpime marinda kwa vidole viwili!! Vikiingia bila pingamizi maamuzi ni?
Usijali hicho mnachowafanya nanyi mtafanywa siku mojaila mabloo wenye wake mna wivu😅😅yani hata jirani ukimchangamkia mkewake yeye ananuna 😅Sasa jamani wakezenu tusiwasalimie?
ilatunacho wafanyaga wake zenu mkiwa kazini😅
Huyu uncle amekujaje hapo?Si kushukuru ametoka na watoto na uncle wao.