Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Wala si ajabu. Waliisha hama akina ENL na FTS atakuwa huyo? After all ni haki yake
 
Chadema bado hamjajifunza? Endeleeni kushangilia nyie haya.........
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Hata mimi nimesikia hilo.tusubiri tuone.
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Bado nchi haijatikisika mpaka leo, au yalikuwa ni magirini yako tu?
 
Kumpokea Membe ni ujinga na literally equivalent to pilitical suicide. He is not worth the baggage he will bring.
 
Naye kanunuliwa?

Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.

Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.

Same ‘ol bullshit.

Tatizo ndugu zetuikitokea hivyo watasema kahama kwa hiari yake.. hajanunuliwa ila wakiondoka wabunge ambao tayari wanalipwa fedha nyingi tu wanaambiwa wamenunuliwa.. mdogo wangu mmoja aliwahi kuniambia kuwa wanasiasa wetu hawana principles... huyo huyo anayehama leo miezi michache baadaye atarudi na hadithi nyingine...
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Salim?
 
Andiko la Desemba 9 leo ni Desemba 20, hiyo wiki ijayo haifiki tu? Iga ufe.
 
Wewe Malaya wa Ughaibuni nadhani umepata jibu juzi Dodoma
Kwa kuwa Mama yako Alikupata kwa Kuuza Na Kupanua Miguu yake Kwa Wabeba Magunia neno hilo umeshaona Ni la kuita Kila Mtu! Wewe unajua Wazi nakujua na ulipokuwa shule Ulitumia Jina la Babu yako kwa kuwa Mama yako kahaba hakujua wewe baba yako alikuwa nani, The hell alikuwa wakati mwingine akilala na Wanaume zaidi ya Kumi kwa siku. By the way bado uko Temeke?
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Peleka funza wako shimoni
 
Bado nchi haijatikisika mpaka leo, au yalikuwa ni magirini yako tu?
Huyu naye na miuongo yake anazidi kupigilia misumari katika kuangusha upinzani hapa tanzania! Mpinzani wa kweli hatoi jambo kwa kadamnasi bila kuwa na uhakika
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Kwa sasa ni mjinga tu anayeweza kuhama chama cha mapinduzi maana kwa kuhamia hakuna!!
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Kama ni Mzee Malecela, hiyo aina impact kubwa kwa Chama (CCM)..
 
Back
Top Bottom