Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
.....Wahame hame tuuu mm hawajawai kutusaidia lolotee..Wananuliwe na wapewe hela tuuu...
.....Tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....Wahame hame tuuu mm hawajawai kutusaidia lolotee..Wananuliwe na wapewe hela tuuu...
.....Mtu mkubwa sana ni Rais na mwenyekiti wa Chama
......Mama yangu itakuwa ni dalili zahiri shahiri ya kufa kwa ccm chama cha mapinduzi!
Kasi ya kwenda wapi, isije kuwa ZimKama sio magufuli basi chukueni tu. Sie mtuachie huyu mwamba wetu.kwa kasi aliyo nayo hata abaki peke yake.
CDM wanunue kwani wanakusanya kodiHuyo mwenyewe hajanunuliwa au wanao nunulia ni wale tu wanaotoka CDM!!!!!
Ujue CDM hapo ndipo mnakuja chinganya Mtu anasema kabisa atakimbia CCM Kisa kawekwa pembeni ninyi mnashangilia sasa Alitaka ale peke yake milele? Aachie na wengine wale yeye apumzike! Si unawaona Hao mawaziri wakuu waliopita wangekuwa wako bado WANAKULA CCM wasingekembia sasa wamekatwa wamekimbia! Tafakari! Ukiwa wala CCM safi ukikatwa CCM mbaya!CDM wanunue kwani wanakusanya kodi
hahahahhahah wata mchanganya ngosha dah wamuone huruma some time anakuwa na stress zake!!......
.....huko Singida mwingine anapasha
mchana na usiku masaa yana fanana ila ni tofauti kabisa mkuu soma alama za nyakati!!Walihama wakina Kambona na bado CCM iliendelea kuwepo na bado ipo,so siyo ishu mkuu.
Lemutuz
Hivi membe alishawahi kushika nyazifa kubwa kwenye chama?
TEH TEH LEO NI JUMANNE