Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sio magufuli basi chukueni tu. Sie mtuachie huyu mwamba wetu.kwa kasi aliyo nayo hata abaki peke yake.
Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
Msigeuze majengo yao kuwa vifusi au kuwapigia simu za vitisho !!!I think the same way..
Ila waondoke tu hawana effect.. Hao hawaridhiki wameshakuwa ktk madaraka almost 90% ya maisha yao still wanahangaika tu... Waende zao huko.. CCM aliondoka Mh. Lowassa na alikuwa HEAVY WEIGHT KABISA NDANI YA CCM na CCM ilibaki imara.. Sembuse hao..
Let's them leave.. Wanachelewa plse
membeHabari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Huyu hamna..Dah....itakuwa che nkapa [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]
Hivi ccm imebaki kweli kwa unavyoona wewe ?I think the same way..
Ila waondoke tu hawana effect.. Hao hawaridhiki wameshakuwa ktk madaraka almost 90% ya maisha yao still wanahangaika tu... Waende zao huko.. CCM aliondoka Mh. Lowassa na alikuwa HEAVY WEIGHT KABISA NDANI YA CCM na CCM ilibaki imara.. Sembuse hao..
Let's them leave.. Wanachelewa plse
Wewe unaonaje?hata,ANBEN ni mwadilifu??
tofauti na pale mwenyekiti wenu anapotoa pesa za wananchi kununua wapinzani ndo effect zipo.............Kuhama kwao kuna effect kwenye bei ya unga? if no Wahame tu.