Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
.....Hahahahaaaa raund hii mtu nafia uwanjani
.....kwikwikwi weita kuya pande tafadhali kiriku tatu bariiiiiiìdi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....Hahahahaaaa raund hii mtu nafia uwanjani
......Mnapata dume jingine?
....Ha kumbe tetesi hata messi ilikuwa tetesi kuwa anasajiriwa na chelsea halau hakusajiliwa kwan nani alijali neymar alipokihama Barc? Kikosi bora kabisa
Mheshimiwa LOWASSA alikuwa mkubwa ndani ya Chama na alidiriki hata kukiweka chama cha Mapinduzi mfukoni mwake.... Zaidi ya hapo hakuna mwingine mkubwa labda hawa waliokatwa mikia... Wacha waende. UKAWA MLIKUWA MNATUFUATA NYUMA MNASUBIRI MKONO UDONDOKE MSHAMBULIE kama Fisi. Tuliingia kwenye mkutano mkuu tukiwa Team mbili lakini tulivyotoka tu tukiwa wamoja tena na kuwaacha UKIWA wakiambulia Oil chafu au Makapi.....Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
...Mheshimiwa LOWASSA alikuwa mkubwa ndani ya Chama na alidiriki hata kukiweka chama cha Mapinduzi mfukoni mwake.... Zaidi ya hapo hakuna mwingine mkubwa labda hawa waliokatwa mikia... Wacha waende. UKAWA MLIKUWA MNATUFUATA NYUMA MNASUBIRI MKONO UDONDOKE MSHAMBULIE kama Fisi. Tuliingia kwenye mkutano mkuu tukiwa Team mbili lakini tulivyotoka tu tukiwa wamoja tena na kuwaacha UKIWA wakiambulia Oil chafu au Makapi.....
......Atakuwa Anthony Diallo
Diallo ni mwepesi?......
.....umeambiwa ni MUTUMUZITO
LemutuzHawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.
Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha
Mkuu hii habari mbona kama changamsha genge tu!Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
......Diallo ni mwepesi?
.......nchi..inatikisika,vp?..tuache..siasa..mbona..hizo,mambo..tushazoea.na..wote..wanaohama..vyama..vyao..
hawajaleta,wala..hawatoleta..tofauti,wala..mabadiliko..yoyote.
Membe akaungane na Lowasa? Sidhani. Maana wote wana ndoto za uraisi.Mwandosya sidhani, atakuwa Membe tu
Kama vile namuona le mutuz linavyojamba na shogaake bashite yalivyokumbatiana.Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.
Swissme