zacha
JF-Expert Member
- Feb 28, 2009
- 1,205
- 1,880
Wakati tunampatia ile nafasi hatukujua kama ni Boya kiasi kile,
Mchukueni tu
Ndiyo maana nikakwambia mshtuko mlionao nimkubwa sana maana hata maneno yako tu yanasadifu! Jipangane na hayo maboya mengine mliyo nayo maana najua siku wakiondoka nao utawaita maboya!