Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Wakati tunampatia ile nafasi hatukujua kama ni Boya kiasi kile,
Mchukueni tu

Ndiyo maana nikakwambia mshtuko mlionao nimkubwa sana maana hata maneno yako tu yanasadifu! Jipangane na hayo maboya mengine mliyo nayo maana najua siku wakiondoka nao utawaita maboya!
 
lakni yote yalitabiliwa ni nyakati za mwisho tuombe sana
 
......
......wale ni mijusi ya mamba
kwanini unahisi wakiondoka wanaccm kwenda upinzani ni sawa na wa upinzani kwenda ccm si sawa??inamaana huko upinzani mko perfect sana kiasi kwamba hamkosei baadhi ya mambo??
 
kwanini unahisi wakiondoka wanaccm kwenda upinzani ni sawa na wa upinzani kwenda ccm si sawa??inamaana huko upinzani mko perfect sana kiasi kwamba hamkosei baadhi ya mambo??
.....
.....huko kwenu watu na pesa tu zamuu hii mtakombwa ile mbaya
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru

Walihama waliokuwa mawaziri wakuu. Kidudu mtu gani mwingine atatikisa??
 
Ndiyo maana nikakwambia mshtuko mlionao nimkubwa sana maana hata maneno yako tu yanasadifu! Jipangane na hayo maboya mengine mliyo nayo maana najua siku wakiondoka nao utawaita maboya!
Wapo watu wa kufanya CDM ipate Mshtuko endapo wakiondoka,
Huyu Boya sio miongoni mwao
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Ccm sio mtu ni watu
 
Sawa mkuu, una haki ya ku-present au kusema anything because you do not pay for your faculties.Hata hivyo as recent as last week REPOA wametoa taarifa za kiutafiti zinazounga mkono za TWAWEZA ambazo zinaonyesha kwamba uongozi wa Magufuli umeweza kupunguza rushwa kwa kiwango kikubwa.Who would not support such a government,nadhani ni mjinga tu mkuu.
Mkuu huu n mjadala Mwngne mpana...unahitaj muda kuujadili...ngoja tusitoke nje ya mada ya mkuu swissme....
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru

Kwa ajili ya kuachiwa huru watu flani flani?
 
Back
Top Bottom