Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe atahama 2019 na tayari washawekana sawa na EL.... kuna ufadhili mzito wa upinzani unakuja usione Magu anatapatapa si bureKama sio Membe au Mwandosya sijui...
Sawa mkuu, una haki ya ku-present au kusema anything because you do not pay for your faculties.Hata hivyo as recent as last week REPOA wametoa taarifa za kiutafiti zinazounga mkono za TWAWEZA ambazo zinaonyesha kwamba uongozi wa Magufuli umeweza kupunguza rushwa kwa kiwango kikubwa.Who would not support such a government,nadhani ni mjinga tu mkuu.Sidhan kama kuna utafit ulioufanya kuthibitsha hilo LA kukubaliwa na watanzania weng Kwa Yale anayoyafanya...pole lakin kuishi Kwa matumain ni Dawa pia ya stress.....
.....Hv nackia mtoto ake anagombea UVCCM
Embu weka wazi hapa mfano kitu gani kizuri tutakimiss kutoka kwa Katambi??Uandishi wako tu unaonyesha ni namna gani mlivyopigwa na "msituko Mkubwa " ambao mpaka sasa hamjakaa sawa!
Huwezi kuona thamani ya kitu mpaka ukipoteze, maumivu yake huwa ni makali sana!
kwenye chama nyazifa kubwa ni mwenyekiti, makamu na katibu mkuu.Hivi membe alishawahi kushika nyazifa kubwa kwenye chama?
.....Hivi propaganda ni kusema uongo?
.....Membe hata akiondoka Leo CCM hawezi kusababisha mtikisiko chanya.
Asante kwa taarifa ila waliobaki, na wanaweza kuhama, hawalingani na hao waliohama wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015.Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
.....Mrema,Lowassa,Sumaye,Nyalandu wote wamehama hamna nyufa ndogo sana katika jengo ndizo tuliziona ubaya wa sasa hakuna mtu mkubwa CCM wote wakubwa.
unataka wasimpokee!Chadema acheni ujinga kumpokea membe hakuwasaidii
mkuu watu wanaushamba mwingi.Sasa mtu kufa vitani si ni kawaida?
Haki za binadamu wa nini?
.....unataka wasimpokee!
Irrelevant......
.....kasherekee Babu seya katoka