Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
hajakosea, hicho ni kiswahili cha kawaida, kuwa amemuona huyo anaemzumzia akiwa A Town, umesomea shule za academy?embu soma ulivyo andika.
Umesema umemwona A town na mh Lema,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hajakosea, hicho ni kiswahili cha kawaida, kuwa amemuona huyo anaemzumzia akiwa A Town, umesomea shule za academy?embu soma ulivyo andika.
Umesema umemwona A town na mh Lema,
kama nyie mnavojifariji kila siku wanachama na viongozi wenu wa upinzani wanavyohamia CCM........
......unajifariji
Embu weka wazi hapa mfano kitu gani kizuri tutakimiss kutoka kwa Katambi??
......Irrelevant.
Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Sio JK kweli?
Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
.....Mwambie safari njema...akifika anakoenda awasalimie wote
....Waache wafu wawazike wafu wenzao...Tanzania ni kubwa kuliko mtu yoyote. Hawa waganga njaa wa siasa acha wachanganyane. Labda tutapa wana siasa serious mbele ya safari. Sisi tunataka maendeleo sio kutukuza watu.
Sisi tunataka maendeleo bwana...sio mambo ya huyu bwana mkubwa....sijui bila yule hutaweza kula...mara yule ndio nguzo ya watanzania....wakati ni nguzo yake wenyewe na interest zake.Kama sio magufuli basi chukueni tu. Sie mtuachie huyu mwamba wetu.kwa kasi aliyo nayo hata abaki peke yake.
Na wajomba?maana bila hao chama lenu jepesi kama unyoyaKama sio magufuli basi chukueni tu. Sie mtuachie huyu mwamba wetu.kwa kasi aliyo nayo hata abaki peke yake.
....
.....futa machozi habari kamili bado
Wakati tunampatia ile nafasi hatukujua kama ni Boya kiasi kile,Mkuu mimi siwezi kufahamu uzuri wake, nikuulize wewe ambaye uliuona hicho kitu kizuri kwake mpaka ukampatia nafasi nyeti kama ile.
Na hili la sasa lingekuwa dirisha dogo..Naona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Kama kawaida ..."kazi isiyofahamika ila maalumu" ...kila la heri watakaokota embe chini ya mnaziHabari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Nimecheka sana !Polepole lazima ukombe azina yote ya lumumba
Swissme