kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,470
- 1,352
..tena Dirisha Dogo,..Naona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..tena Dirisha Dogo,..Naona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Yaani CDM ipate wakati Mgumu sababu ya Katambi??...
...
...
CHADEMA kuondokewa na hawa vijana wake hasa yule mwenyekiti wa Bavicha taifa imewapa wakati mgumu sana hivyo wanatumia nguvu nyingi sana kujitanabaisha kwa jamii kwamba bado wanamvuto.
Tangu chama kiuzwe kwa yule mzee watu wake wamekuwa kama mtu asiye mjuvi wa kuogelea.
aNaye kanunuliwa?
Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.
Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.
Same ‘ol bullshit.
Sidhan kama kuna utafit ulioufanya kuthibitsha hilo LA kukubaliwa na watanzania weng Kwa Yale anayoyafanya...pole lakin kuishi Kwa matumain ni Dawa pia ya stress.....Kwamba aliwahi kuwa na nyadhifa kubwa Tanzania serikalini au kwenye chama is immaterial,jambo la msingi hapa ni kwamba yeye ni Mtanzania kama Watanzania wengine kwa hiyo
ana haki kabisa ya kuwa na mawazo yake binafsi.Jambo la msingi hata hivyo ni kwamba Watanzania tulio wengi tunakubaliana na mengi Rais anayofanya,yeye is just a drop in the ocean.Tunamtakia kila la heri.
Hekima hata hivyo inaniambia kwamba kuliko ku-cross over to the opposition ambako kwenyewe kuko in disarray, ni vema angebaki chamani aka-fight for change from within, kama anaona kuna serious problems.He will certainly regret his actions,ni vema akajitafakari.
Yaani CDM ipate wakati Mgumu sababu ya Katambi??
Katika viongozi 30 ambao ni vichwa na wa kutegemewa pale CDM huyo Katambi hakuwemo kabisa, hata 100 bora
Ngoja nitafute mke ataeniabudu kama wewe unavyoiabudu CCM,,,,NAJUA HATONISALITI KAMWE[emoji181]Hawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.
Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha
Kiki nyingne hiyo katengenezaKwa hasira namwacha huru babu seya
Hii imekaa vizuriNaona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Kwa kauli hiyo huwezi shitakiwa kulingana na KATIBA ya Nchi..........??? Au katiba ni zuga tu.........!!!!"TUNAKUPA MADARAKA TUNAKUPA MSHAHARA,TUNAKUPA MARUPURUPU,KWELI UTAWEZAJE KUTANGAZA MPINZANI AMESHINDA"
akiwa huyu hata sisimizi hawatatikisika.Mwandosya sidhani, atakuwa Membe tu
Huyo bwana tuhuma za kujihusisha na ARVs fake ingekuwa China angekuwa hatarini kunyongwa baada ya kukutwa na hatia.Kwa kweli Madabida anateswa sana. Ningekuwa mimi ningehama ccm na kubaki mtaifa tu
Huyo hajanunuliwa?Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Hawa wote siyo threat kwa ccm na hawana mchango wowote kwenye kambi ya upinzani.Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
Imebidi nicheke tu..[emoji23] [emoji23]Naona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Membe hata akiondoka Leo CCM hawezi kusababisha mtikisiko chanya.Natamani awe Membe
.....
....huwezi kukaa ndani ya jahazi linalozama