Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

...
...
...
CHADEMA kuondokewa na hawa vijana wake hasa yule mwenyekiti wa Bavicha taifa imewapa wakati mgumu sana hivyo wanatumia nguvu nyingi sana kujitanabaisha kwa jamii kwamba bado wanamvuto.

Tangu chama kiuzwe kwa yule mzee watu wake wamekuwa kama mtu asiye mjuvi wa kuogelea.
Yaani CDM ipate wakati Mgumu sababu ya Katambi??
Katika viongozi 30 ambao ni vichwa na wa kutegemewa pale CDM huyo Katambi hakuwemo kabisa, hata 100 bora
 
Wanasiasa ni waongo balaa
Naye kanunuliwa?

Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.

Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.

Same ‘ol bullshit.
a
 
Kwamba aliwahi kuwa na nyadhifa kubwa Tanzania serikalini au kwenye chama is immaterial,jambo la msingi hapa ni kwamba yeye ni Mtanzania kama Watanzania wengine kwa hiyo
ana haki kabisa ya kuwa na mawazo yake binafsi.Jambo la msingi hata hivyo ni kwamba Watanzania tulio wengi tunakubaliana na mengi Rais anayofanya,yeye is just a drop in the ocean.Tunamtakia kila la heri.

Hekima hata hivyo inaniambia kwamba kuliko ku-cross over to the opposition ambako kwenyewe kuko in disarray, ni vema angebaki chamani aka-fight for change from within, kama anaona kuna serious problems.He will certainly regret his actions,ni vema akajitafakari.
Sidhan kama kuna utafit ulioufanya kuthibitsha hilo LA kukubaliwa na watanzania weng Kwa Yale anayoyafanya...pole lakin kuishi Kwa matumain ni Dawa pia ya stress.....
 
Yaani CDM ipate wakati Mgumu sababu ya Katambi??
Katika viongozi 30 ambao ni vichwa na wa kutegemewa pale CDM huyo Katambi hakuwemo kabisa, hata 100 bora

Uandishi wako tu unaonyesha ni namna gani mlivyopigwa na "msituko Mkubwa " ambao mpaka sasa hamjakaa sawa!

Huwezi kuona thamani ya kitu mpaka ukipoteze, maumivu yake huwa ni makali sana!
 
Hawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.

Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha
Ngoja nitafute mke ataeniabudu kama wewe unavyoiabudu CCM,,,,NAJUA HATONISALITI KAMWE[emoji181]
 
Mrema,Lowassa,Sumaye,Nyalandu wote wamehama hamna nyufa ndogo sana katika jengo ndizo tuliziona ubaya wa sasa hakuna mtu mkubwa CCM wote wakubwa.
 
"TUNAKUPA MADARAKA TUNAKUPA MSHAHARA,TUNAKUPA MARUPURUPU,KWELI UTAWEZAJE KUTANGAZA MPINZANI AMESHINDA"
Kwa kauli hiyo huwezi shitakiwa kulingana na KATIBA ya Nchi..........??? Au katiba ni zuga tu.........!!!!
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Huyo hajanunuliwa?
Ahame tu hata leo
 
Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
Hawa wote siyo threat kwa ccm na hawana mchango wowote kwenye kambi ya upinzani.

Hawa ni majeruhi wa kisiasa tu, Chadema isithubutu kumpokea kachero wa usalama wa Taifa kama Membe watakuja kulia kuliko sasa.
 
Back
Top Bottom