Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Lowassa ni pekee ccm imempteza mwenye kupendwa na watu. Wengine wote haina impact. Ndiyo maana wanahaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha! Ha! Ha!Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
Itakuwa dafrau la kufungia mwakaHabari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
.....Basi hizo bidhaa zitakuwa reject !
....Itakuwa dafrau la kufungia mwaka
..........na huyu si mwana uaalama mkongwe ! hamta baki salama.
Kwamba aliwahi kuwa na nyadhifa kubwa Tanzania serikalini au kwenye chama is immaterial,jambo la msingi hapa ni kwamba yeye ni Mtanzania kama Watanzania wengine kwa hiyoHabari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Upper cut.... A total knockout....
....Lita futa kiki zote kwa mwaka huu
.....Upper cut.... A total knockout
Ackson !.....
....Tulia
......Ni bora akawe rofa pamoja na wenzake.
.......Ackson !
......Kwamba aliwahi kuwa na nyadhifa kubwa Tanzania serikalini na kwenye chama is immaterial,yeye ni Mtanzania kama Watanzania wengine,kwa hiyo
ana haki ya kuwa na mawazo yake binafsi.Jambo la msingi hata hivyo ni kwamba Watanzania tulio wengi tunakubaliana na mengi Rais anayofanya,yeye is just a drop in the ocean.
hapana ila chama kimewahi shika nyadhifa kubwa kwa membeHivi membe alishawahi kushika nyazifa kubwa kwenye chama?