Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Hawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.

Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha


Wakuache na nani? Habari ya mjini ndio hiyo


Swissme
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi ccm kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru


Mtu mkubwa wa kuitikisa nchi ni Raisi wa JMTZ Tu, huyo akihama CCM basi kweli CCM itakuwa imekufa, wengine wote waende watakako!
 
Huyo mwenyewe hajanunuliwa au wanao nunulia ni wale tu wanaotoka CDM!!!!!
 
Naye kanunuliwa?

Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.

Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.

Same ‘ol bullshit.
hukumuona Kafulila?
 
Jamani Sio ndo tunaamka Nchi za watu Naomba kuuliza. ZITTO NA LISSU WAMETWEET vifo vya wanajeshi. Na wale haki za BIN Adam je. Hakuna aliyeitisha kikao na waandishi wa habari. Mana nimezoea
 
Habari zilizotufikia hivi punde

Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi ccm kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa

Mwanahabari Huru
Chadema acheni ujinga kumpokea membe hakuwasaidii
 
Naona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Kweli kabisa, hii itapunguza gharama ya chaguzi za marudio. Na kutoa fursa ya watu kufanya kazi za kuwaletea wananchi maendeleo badala ya kufanya siasa. Uchaguzi ukikaribia, baada ya bunge kuvunjwa na mabaraza ya madiwani kuvunjwa, hapo sasa dirisha la usajili linafunguliwa upya.
 
Kwa kweli Madabida anateswa sana. Ningekuwa mimi ningehama ccm na kubaki mtaifa tu
 
Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
nawezekana ikawa hivyo au hata NAPE But inawezekana pia wapinzani wameamua kusema hivyo ili kuzima hoja za chama tawala kuwa kuna watu wakubwa toka upinzani wataamia chama Tawala tarehe ya mkutano wao Dom,yote yawezekana "Pindua pindua" maneno ya siasa kutishiana tishiana kila upande...
 
Atawekwa kizuizini maana haiwezekani watumie mamilioni kuaminisha CCM sasa ni ya masia baada ya Nyalandu kuwapiga chini ya mkanda halafu tena mwingine aibuke na kuonyesha guts,iikiwezekana hata kesi ya uhujumu uchumi atabandikwa!!
 
Back
Top Bottom