Wiki mbili zilizopota Marekani iliwaonya raia wake waliopo Urusi kuepuka sehemu zenye misongamano ya watu!

Wamarekani ndio wanaotuma magaidi..halafu wanajifanya wana vyanzo vya habari na upelelezi makini na wametoa tahadhari mapema.
 
Marekani Pia imepigwa mara nyingi sana pale pale kwao so hii ni tukio ambalo Russia itadeal nalo vizuri na bahati Nzuri Putin ameshasema wote waliopanga, kuratibu na kufadhili watakabiliwa vikali sana...
Anaimba Taarabu huyo USA ni mziki mnene
 
Ni lini sisi watanganyika tutafikia upeo wa USA?

Kizimkazi anatuponza sana.
Never ever!

GDP ya Marekani ni kiasi gani?

GDP ya Tanzania ni kiasi gani?

Ukitoka nje ya Tanzania, huwa unajivunia nini ambacho ni cha Tanzania?

Wamarekani wakitoka nje ya Marekani, wana vingi vya kujivunia: hip-hop, basketball, Apple, Coca-Cola, VISA, MasterCard, Facebook, Instagram, Google, Amazon, aircraft carriers, NASA, Hollywood, Wall Street, Tesla cars, Nike, Ralph Lauren, etc……

Mchango wa Marekani kwenye maisha ya mwanadamu hauwezi kuwekewa kiwango cha fedha.

Facts.
 
Warusi wa buza wamekariri "America bad"
 
Mashirika makubwa haya kijasusi huwatumia pia magreat seers wanaitwa physic yaani watabiri,Pana watu wanaouwezo wa kutabiri hatari kabla ya tukio.
 
Huwezi ku argue point counterpoint ndo maana umekimbilia kunyooshea kidole lugha!
Nyie subirini marafiki wa Putin, Iran na washirika wake waanze kuwapelekea moto................mmefanya tukio kizembe sana nyie ni viazi
 
Yes, CIA wana resources ndefu!
 

Hapo mchawi anajulikana. Baba wa magaidi duniani.
 
US huandaa haya matukio na kujifanya kutoa Security Alert mbona kule kwao watu huuwawa kwa mamia huwa hawaoni hizo alert?? ukijua system za ile nchi zinavyofadhili mauaji duniani humu utakaa chini uzimie..Ile Nchi ni jambazi No 1 hatari.

Wanajifanya wenyewe ni akina sheik yahaya
 
Marekani haijawahi kutoa security alert ndani ya mipaka yake? Una uhakika kabisa?

Si wenyewe ndiyo waandaaji wa show, halafu wanajifanya wanaotea.

Pole sana Putin, lkn tunajua nguvu zako zilivyo.
Pia imarisha usalama.
 
US huandaa haya matukio na kujifanya kutoa Security Alert mbona kule kwao watu huuwawa kwa mamia huwa hawaoni hizo alert?? ukijua system za ile nchi zinavyofadhili mauaji duniani humu utakaa chini uzimie..Ile Nchi ni jambazi No 1 hatari.
bwege mmoja kijiwe cha kahawa kama wewe.wanakutengenezea teknolojia hata ukiambiwa fikiria kiberiti uwezi alafu unakuja kuongea US inapanga. ile inawatu wanaojitambua na IQ kubwa sio wewe unayekandamizwa na ccm njaa imekujaa mpaka utumbo mpana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…