Kwa intelligence tu wako mbali sana.Kama nitakua na kumbukumbu nzuri pia hapa bongo waliwahi toa alert za namna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa intelligence tu wako mbali sana.Kama nitakua na kumbukumbu nzuri pia hapa bongo waliwahi toa alert za namna hii
Kwa inteligence tu wako mbali sana.Kama nitakua na kumbukumbu nzuri pia hapa bongo waliwahi toa alert za namna hii
Ni kweliKwa inteligence tu wako mbali sana.
Lini?
Hao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?Ndiyo.
Bajeti ya CIA na bajeti za hao FSB/ KGB unadhani zinalingana?
Bajeti ya masuala ya ulinzi ya Marekani unadhani inalingana na bajeti ya Urusi kwenye masuala ya ulinzi?
And…..?Hao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?
Nasubiri jibu.And…..?
Hao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?
cia hii ya unayo nunua chips yakoHao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?
Vipi alivyo ionya Ukraine kuwa itavamiwa na Russia, Russia akakanusha, kisha akavamia.......???Nasema Kwa Uhusiano ulivyo kati ya Urusi na Marekani na kwamba wote tunajua mmiliki na Mfadhili wa haya magenge ya Kigaidi ni yeye mwenyewe Marekani Hata akitoa security alert anajua mipango mingine mingi nyuma yake...Na haya mashirika ya Kijasusi ya pale Marekani yananunua sana habari kwa pesa nyingi ili wajiwekee agenda kujionyesha wako juu kijasusi.
Super intelligence ya USA imeshindwa kumsaidia hata mwenyewe kuzuia matukio ya kigaidi kutokea katika ardhi yake, kama imeshindwa kumsaidia mwenyewe pamoja na superior security structure, itawezaje kumsaidia adui yake Russia wakati huu!?US huandaa haya matukio na kujifanya kutoa Security Alert mbona kule kwao watu huuwawa kwa mamia huwa hawaoni hizo alert?? ukijua system za ile nchi zinavyofadhili mauaji duniani humu utakaa chini uzimie..Ile Nchi ni jambazi No 1 hatari.
Upeo upi mkongwe?Ni lini sisi watanganyika tutafikia upeo wa USA?
Kizimkazi anatuponza sana.
Yap, ni wamba, tena sana!Ina maan CIA ni wamba kuliko FSB/KGB!!