Wiki mbili zilizopota Marekani iliwaonya raia wake waliopo Urusi kuepuka sehemu zenye misongamano ya watu!

Wiki mbili zilizopota Marekani iliwaonya raia wake waliopo Urusi kuepuka sehemu zenye misongamano ya watu!

 
Ndiyo.

Bajeti ya CIA na bajeti za hao FSB/ KGB unadhani zinalingana?

Bajeti ya masuala ya ulinzi ya Marekani unadhani inalingana na bajeti ya Urusi kwenye masuala ya ulinzi?
Hao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?
 
Hao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?
And…..?
 
Hao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?
Hao CIA mbona imeshindwa kuisaidia Israel ambayo ni mbwa wake kujua mateka wake walipo miezi zaidi ya 6, ila waje waisaidie Urusi ambao ni adui wao?
cia hii ya unayo nunua chips yako
 
Mods wa JF kwa mahaba mchana nimeleta uzi kama huu wakaungamisha🤣🤣🤣
 
Nasema Kwa Uhusiano ulivyo kati ya Urusi na Marekani na kwamba wote tunajua mmiliki na Mfadhili wa haya magenge ya Kigaidi ni yeye mwenyewe Marekani Hata akitoa security alert anajua mipango mingine mingi nyuma yake...Na haya mashirika ya Kijasusi ya pale Marekani yananunua sana habari kwa pesa nyingi ili wajiwekee agenda kujionyesha wako juu kijasusi.
Vipi alivyo ionya Ukraine kuwa itavamiwa na Russia, Russia akakanusha, kisha akavamia.......???
 
WARNING BEFORE SEPTEMBER 11 ATTACK
Hata wenyewe USA walikuwa na taarifa za utekelezaji wa tukio la kigaidi ndani ya ardhi ya USA. Lakini walishindwa kumzuia Bin Laden kufanya yake.
Au walifanya makusudi kwakuwa Al Qaeda imetengenezwa na USA wenyewe!?
🇺🇸🇺🇸🇺🇸
IMG_0824.jpeg
 
US huandaa haya matukio na kujifanya kutoa Security Alert mbona kule kwao watu huuwawa kwa mamia huwa hawaoni hizo alert?? ukijua system za ile nchi zinavyofadhili mauaji duniani humu utakaa chini uzimie..Ile Nchi ni jambazi No 1 hatari.
Super intelligence ya USA imeshindwa kumsaidia hata mwenyewe kuzuia matukio ya kigaidi kutokea katika ardhi yake, kama imeshindwa kumsaidia mwenyewe pamoja na superior security structure, itawezaje kumsaidia adui yake Russia wakati huu!?
 
Ina maan CIA ni wamba kuliko FSB/KGB!!
Yap, ni wamba, tena sana!
Ila walishindwa kumzuia Osama Bin Laden mwaka 2001 kuwapiga tukio ndani ya ardhi yao wenyewe, tena mwanga wa jua ukiwa unafanya kazi.
Unajua Wamarekani wangapi walikufa?
Au unaamini Bush aliua wananchi wake ili kujustify the invasion of Afghanstan!?
 
Back
Top Bottom