WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,017
Zinatkshaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawasha indicator then anasahau kuzima....Na ndio hao watakao kuwa wanawasha indicator ya kushoto halafu yeye anakata kulia'
jizimaga otomatiki ukirudisha usukaniAnawasha indicator then anasahau kuzima....
Raha SanaJF raha sana.
Kwel kabisa kilichonsaidia nilikuwa na uzoefu kwny pikipikiMmmh!!
Ya kweli hayo?
plus basic knowledge ya matatzo madogo madogo, mfano kuchek oil kwa enjine, brake fluids maji kwa rejeta na vingnezinakutosha, pia nikukumbushe kujua kuendesha gari ni pamoja na kujua sheria na alama za barabarani, Kila la heri
HahaaaaAnawasha indicator then anasahau kuzima....
Kasheshe la kubadili gia lolIna ugumu gani (hasa kwa sisi wanawake? )Ni mentality mbaya tu za watu,kuna wanawake wako viwandani wanaendesha mitambo mikubwa seuze gari ya manual?
Sio kazi,kama unafahamu auto,manual lisaa limoja tu unatambaa,muhimu ufahamu gia gani iko sehemu gani na ui ngage Kwa mtiririko wake.Kasheshe la kubadili gia lol
Umenigusa mkuu mpaka kesho siendeshi gari sababu naogopa mnoo yaan kitendo cha kukaa kwenye usukani presha inapanda...... natetemeka mwisho naamua kuacha ila natamani kweli.Tatizo sio kujua sheria na alam za barabarani,
Tatizo ni kujiamini na kutokuwa na woga uwapo barabarani.
Umenigusa mkuu mpaka kesho siendeshi gari sababu naogopa mnoo yaan kitendo cha kukaa kwenye usukani presha inapanda...... natetemeka mwisho naamua kuacha ila natamani kweli.
Hahah there's some truth to that.Wiki mbili zote hizo za nini ,ingia YouTube dakika nne tu ndugu zako watakuwa na wewe MOI
Hahahaaa JF utajikuta fukara ni wewe peke yako.[emoji1] [emoji1] [emoji1]JF kila mtu ana Gari?!!![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Maajabu haya...