Wiki yenye utata: Tulianza na Dr Kigwangalla akaja Kangi Lugolla akafuatia Zitto halafu RC Makonda na sasa ni Mtume na nabii Mwamposya aliyekamatiwa !

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana sana na wewe. Watu wenye elimu yao wanajua fika ukiumwa nenda kamuone Daktari. Walijua Ukimwi haukua umepata dawa ya kuutibu. Wanapanda maVX yao na hata helikopta kwenda kunywa kikombe cha Babu kule Loliondo! Kweli elimu bila maarifa ni sifuri.
 
Makonda atawakondesha ,bado hamjasema
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…