Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoa mada ameongelea ndani ya NchiNakataa moshi , kilimanjaro ni maarufu zaidi kuliko hata tanzania nje za nchi.
MusomaSongea
Moshi
Sumbawanga
Kahama
Kibaha
BukobaMusoma
Wapi kasema ndani ya nchi ,nionyeshe nikurushie usd 300 sasa iv upooze koo.mtoa mada ameongelea ndani ya Nchi
Kwa huku ndani ni mara chache sana usikie mtu akisema anasafiri kwenda Kilimanjaro, utasikia tuanakwenda Moshi
Hata wachaga wakienda kula Christmas huesafiri kwenda Moshi na sio Kilimanjaro
Umarufu wake uko ndani au nje ya Tanzania?Nakataa moshi , kilimanjaro ni maarufu zaidi kuliko hata tanzania nje za nchi.
Mtoa mada ajasema ndani wala njee ila njee nipakubwa kuliko ndani ndio maana nikasema hivyoUmarufu wake uko ndani au nje ya Tanzania?
Na karatu n maarufu au nasema uongo ndugu yangu 😅😅Manyara ndo mkoa wake
Kwamba Rungwe ni maarufu kuliko Mbeya?Rungwe
Nakataa moshi , kilimanjaro ni maarufu zaidi kuliko hata tanzania nje za nchi.
Nadhani mleta mada alikusudia jina la mkoa wa kilimanjaro lakini wewe unazungumzia umaarufu wa mlima kilimanjaroNakataa moshi , kilimanjaro ni maarufu zaidi kuliko hata tanzania nje za nchi.
Yea sababu ya madiniKwamba Rungwe ni maarufu kuliko Mbeya?