min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mimi pia nilichemka ikabidi nitafute kwenye vyanzo vingne ila ni jambo linalochanganya kidogo.Jamaa mbishi anajianika asivyoijua Arusha na Manyara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia nilichemka ikabidi nitafute kwenye vyanzo vingne ila ni jambo linalochanganya kidogo.Jamaa mbishi anajianika asivyoijua Arusha na Manyara
Mererani ndo inachanganya ila karatu inajulikana ipo Arusha, halafu wengine wanachanganya mbulu na karatuMimi pia nilichemka ikabidi nitafute kwenye vyanzo vingne ila ni jambo linalochanganya kidogo.
Kweli karatu na mbulu haziwezi nichanganya kabisa kipindi nimemaliza chuo nilizunguka kwenye minada hadi chocho zote kupata chochote kitu naijua vizuri mno, kwa zile gari land-rover na vumbi la huko nimelinywa mnoMererani ndo inachanganya ila karatu inajulikana ipo Arusha, halafu wengine wanachanganya mbulu na karatu
Sasa wasio wenyeji wanapachanganyaKweli karatu na mbulu haziwezi nichanganya kabisa kipindi nimemaliza chuo nilizinguka kwenye minada hadi chocho zote kupata chochote kitu naijua vizuri mno, kwa zile gari land-rover na vumbi la huko nimelinywa mno
Umaarufu unaousema unatokana na jina la mkoa kutokutumika kwenye wilaya yoyote ya mkoa husikaSongea
Moshi
Sumbawanga
Kahama
Kibaha
Mererani inaweza kukuchanganya kama ni arusha , manyara au kilimanjaro pia.Sasa wasio wenyeji wanapachanganya
Manyara hasa hayo mambuga ina eneo kubwa sana hao majirani zake wote wakongwe ila kwa eneo hawampati inapelekea baadhi ya maeneo mtu adhani yapo mikoa jiraniMererani inaweza kukuchanganya kama ni arusha , manyara au kilimanjaro pia.
Aiseee kama karatu ipo manyara nmeskitka sana kama tu ujui geographia bc hata katba mpya aipasw kupganiaManyara ndo mkoa wake
Mererani Iko manyara karatu ni wilaya mojawapo za mkoa wa Arusha inapakana na wilaya za ngorongoro na monduliKaratu ipo mkoa wa Manyara mzee, mikoa imeshagawanywa hiyo.
Haya nikuulize, Mererani ipo mkoa gani?
Mkuu kuanzia lini Rungwe umekuwa ni mkoa? Hilo wazo la kufanya kuwa mkoa lilikuwepo lakini bado halijatekelezwa.Rungwe na Mbeya ni mikoa tofauti, kama hujui fatilia.
Acha kukaza fuvu mzee, kubali kukosolewa.
Kibaha nakataa. Wilaya zote za mkoa wa Pwani hazina utofauti kiasi hicho.
Maybe coz ni maarufu kimtindo.Nlitaka kuandika chunya
Tayari Mbeya ilishagawanywa tangu kitambo mkuuMkuu kuanzia lini Rungwe umekuwa ni mkoa? Hilo wazo la kufanya kuwa mkoa lilikuwepo lakini bado halijatekelezwa.
Sina uhakika. Mbona hiyo Rungwe bado haitambuliki kama mkoa?Tayari Mbeya ilishagawanywa tangu kitambo mkuu