The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Nadhani hii ndo wilaya pekee Tanzania inayokunywa damu.za kutosha. Ukiingia youtube au google uka search Chalinze Taarifa 3 za kwanza ni ajali ajali miaka nenda rudi ni eneo hatari sana na watu wanapaswa kuwa makini.
Check hii ni ya leo leo Bwilingu nadhani na ufinyu wa barabara unachangia bila kupanuliwa mapema tutalia kila siku.
Check hii ni ya leo leo Bwilingu nadhani na ufinyu wa barabara unachangia bila kupanuliwa mapema tutalia kila siku.