Wilaya ya Hai kijiji cha Tindigani ndicho chote kapewa Mjomba wa Omani? Hii sio sawa

Wilaya ya Hai kijiji cha Tindigani ndicho chote kapewa Mjomba wa Omani? Hii sio sawa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
Screenshot_20240820_062606_cn.wps.moffice_eng.jpg


Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na hii kasi ni kubw awamu ya huyu Mama ambaye yeye haoni shismda kabisa kuuza maeneo kwa Wawekezaji hasa wa kutoka Ujombani kule.

Target ya Mama hadi anatoka Madarakani ni kuuza angalau mkoa mmoja mzima kabisa na raia wake wanauzwa.
 
Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
View attachment 3074593

Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na hii kasi ni kubw awamu ya huyu Mama ambaye yeye haoni shismda kabisa kuuza maeneo kwa Wawekezaji hasa wa kutoka Ujombani kule.

Target ya Mama hadi anatoka Madarakani ni kuuza angalau mkoa mmoja mzima kabisa na raia wake wanauzwa.
Hebu tulia weka habari kamili. Weka nyaraka zinazoonyesha jina la huyo mjomba wa Oman. Weka title deeds, Weka hata picha kama unazo. Kuandika hivyo bila uthibitisho ni kupoteza muda wa wasomaji
 
Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
View attachment 3074593

Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na hii kasi ni kubw awamu ya huyu Mama ambaye yeye haoni shismda kabisa kuuza maeneo kwa Wawekezaji hasa wa kutoka Ujombani kule.

Target ya Mama hadi anatoka Madarakani ni kuuza angalau mkoa mmoja mzima kabisa na raia wake wanauzwa.
Kama wameridhia na wakilishi wa wanakijini na viongozi wetu, sioni kama kuna kosa bado tunahitaji wawekezaji ili tupate maendeleo, mambo ya ushabiki tuachana nao, hamna cha ujomba au shangazj mbona wa China wapo kila sehemu?
 
Dah inasikitisha mno.... Juzi wamasai wameandamana TBC kama chanel ya taifa " ni mama anapiga mwingi maswala ya nchi ya msingi ahhaaa" leo moshi huko tayari... Bdo kuna lile pori songea kule lina mgodi .. sasa mbona tutabaki hatuna sehemu alooh . Maana dar tayari DP WORLD...Sio muda mbagala ,temeke kurasini kutakuw bandari kavu...
 
Dah inasikitisha mno.... Juzi wamasai wameandamana TBC kama chanel ya taifa " ni mama anapiga mwingi maswala ya nchi ya msingi ahhaaa" leo moshi huko tayari... Bdo kuna lile pori songea kule lina mgodi .. sasa mbona tutabaki hatuna sehemu alooh . Maana dar tayari DP WORLD...Sio muda mbagala ,temeke kurasini kutakuw bandari kavu...
Kwa hiyo hilo pori la Songea na mgodi unataka kilifanyia nini mpaka sasa?
 
Kama wameridhia na wakilishi wa wanakijini na viongozi wetu, sioni kama kuna kosa bado tunahitaji wawekezaji ili tupate maendeleo, mambo ya ushabiki tuachana nao, hamna cha ujomba au shangazj mbona wa China wapo kila sehemu?
KWa hio ulivyo mjinga kufuta vijiji ni sawa na hata kufuta Nchi siku moja itakuwa sawa? wewe ni wale mmekuja Duniani kumaliza hewa ya Oxygen tu huna maana
 
Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
View attachment 3074593

Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na hii kasi ni kubw awamu ya huyu Mama ambaye yeye haoni shismda kabisa kuuza maeneo kwa Wawekezaji hasa wa kutoka Ujombani kule.

Target ya Mama hadi anatoka Madarakani ni kuuza angalau mkoa mmoja mzima kabisa na raia wake wanauzwa.
Aione hii Choicevariable ili aendelee kutuita "wajinga tunaleta siasa".
 
Back
Top Bottom