Wilaya ya Hai kijiji cha Tindigani ndicho chote kapewa Mjomba wa Omani? Hii sio sawa

Wilaya ya Hai kijiji cha Tindigani ndicho chote kapewa Mjomba wa Omani? Hii sio sawa

Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
View attachment 3074593

Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na hii kasi ni kubw awamu ya huyu Mama ambaye yeye haoni shismda kabisa kuuza maeneo kwa Wawekezaji hasa wa kutoka Ujombani kule.

Target ya Mama hadi anatoka Madarakani ni kuuza angalau mkoa mmoja mzima kabisa na raia wake wanauzwa.
Mama, Mkwe ,na Nsumba ntale wako serious sokoni si mchezo.
 
Bila ya shaka watoto wa watoto wetu ndio watakao thirika na maamuzi ya viongozi wetu wa leo, pole mno kwao na tunatanguliza kuomba radhi kwao kwa vile tunavyo shindwa kuitetea kesho yao.
Unapata wapi uwezo wa kuzaa ikiwa unaishi bìla kujishughulisha. Bora hata hao watoto usizae kama unasibiri wao ndiyo waje kupasua mapori
 
Toka hapa, Ingekuwa hivyo Ally Hapi si angeendelea na safari yake ya kulima nyanya na pilipili Iringa.
Kwani Ally Happi ameacha kulima? Au unadhani Ally Happi alikuwa anashika jembe. Yeye katengeneza ajira, watu wanalima na anawalipa. Zile picha ilikuwa promo tu.

Kumbe Watanzania hamna akili kiasi hiki!!
 
Dah inasikitisha mno.... Juzi wamasai wameandamana TBC kama chanel ya taifa " ni mama anapiga mwingi maswala ya nchi ya msingi ahhaaa" leo moshi huko tayari... Bdo kuna lile pori songea kule lina mgodi .. sasa mbona tutabaki hatuna sehemu alooh . Maana dar tayari DP WORLD...Sio muda mbagala ,temeke kurasini kutakuw bandari kavu...
Tukiendelea kuchekacheka huko mbeleni watakabidhiwamarinda kutatua.
 
Ngoja waje chawa wakuambie wanabubujikwa na machozi na vilio kisa mama anaupiga mwingii ingali nchii inameguliwa kdg kdg ....

Ndio maana wamasai wamesanukaaa
 
Hatari na nusu... Haya ndio mambo yatakayoamua uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao. Hivi watanzania ni nini tunaweza kuendeleza wenyewe?
 
Kama wameridhia na wakilishi wa wanakijini na viongozi wetu, sioni kama kuna kosa bado tunahitaji wawekezaji ili tupate maendeleo, mambo ya ushabiki tuachana nao, hamna cha ujomba au shangazj mbona wa China wapo kila sehemu?
Kuna siku moja nilisikia mchumi moja kwenye Radio akiongelea madhara ya kuuza Ardhi, na kukimbilia Boda Boda n.k . Ardhi ndio chanzo cha Maisha yetu , ukiuuza Ardhi wewe Maisha yako yatakuwaje
 
Kuna siku moja nilisikia mchumi moja kwenye Radio akiongelea madhara ya kuuza Ardhi, na kukimbilia Boda Boda n.k . Ardhi ndio chanzo cha Maisha yetu , ukiuuza Ardhi wewe Maisha yako yatakuwaje
Aridhi ndo maisha yetu tukiitumia kuzadhalisha production, lakini ikibaki pori, kama kwasasa Tanzania ilivo haitusaidie kabisa.
 
Aridhi ndo maisha yetu tukiitumia kuzalusha production, lakini ikibaki pori, kama kwasasa Tanzania ilivo haitusaidie kabisa.
Sawa , lakini ukiitoa Kwa hiyo faida unayo zungumzia itakuwa ni furaha ya muda, gharama ya kuipata tena, itakuwa 300% ya faida uliyoipata sasa au usiipate kabisa
 
Back
Top Bottom