Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Ardhi ambayo ni arable kwa kilimo inayotumika Tanzania ni less than 15% tu. Watanzania wengi wanapenda kujishughulisha na biashara za kimachinga.Na huo ndio ujinga tusio ona Mbele, Mwisho wa siku tutajikuta maeneo makubwa yote wanamiliki wawekezaji kwa miaka 99, tunashingilia ujinga mkuu, Wabongo ni watu wapumhavu sana kuwahi kutokea
Hiyo misitu ambayo imeingia kwenye carbon credit haiwezi kuathiri agricultural production ya nchi yetu.
Binadamu ndivyo mlivyo, hamuwezi kula mavi lakini mnafukuza kuku wasile pia.