Mbona marinda mnatatuana wenyewe soku zote. Hawa akina Anti Bilali au James Delicious wametatuliwa hata kabla ya Waarabu. Au wale vijana waliomfira binti wa Yombo na kuoandishwa Mahakamani jana.Tukiendelea kuchekacheka huko mbeleni watakabidhiwamarinda kutatua.
Jiulize kwanza wewe mwenyewe umewahi kufanya nini?Hatari na nusu... Haya ndio mambo yatakayoamua uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao. Hivi watanzania ni nini tunaweza kuendeleza wenyewe?
Mtagaiwa vilainishi, hamtateskea😁Tukiendelea kuchekacheka huko mbeleni watakabidhiwamarinda kutatua.
HahaaaaaaKWa hio ulivyo mjinga kufuta vijiji ni sawa na hata kufuta Nchi siku moja itakuwa sawa? wewe ni wale mmekuja Duniani kumaliza hewa ya Oxygen tu huna maana
100% akili zimeazimwa na usimba uyanga uzuchu uchawaView attachment 3074597
Jibu lako liko hapo kwenye cycle
Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
View attachment 3074593
Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na hii kasi ni kubw awamu ya huyu Mama ambaye yeye haoni shismda kabisa kuuza maeneo kwa Wawekezaji hasa wa kutoka Ujombani kule.
Target ya Mama hadi anatoka Madarakani ni kuuza angalau mkoa mmoja mzima kabisa na raia wake wanauzwa.
Kilaza mvivu unaishi sebuleni kwa shemeji, kutwa kugombea remote na watoto wa dada yako. Unajuwa neno moja tu la kiingereza eti "Period"Haihitaji akili mingi mtu kufahamu kuwa wewe ni mjinga, Period!
Kilaza mvivu unaishi sebuleni kwa shemeji, kutwa kugombea remote na watoto wa dada yako. Unajuwa neno moja tu la kiingereza eti "Period"
Unafikiria kuolewa tu. Utapata tu mabwana kwa urembo ulionaoPunguza maneno mchumba
Acha ujeuri utakosa mume. Shauri yakoUnafikiria kuolewa tu. Utapata tu mabwana kwa urembo ulionao
Kama umeolewa wewe inatoshaAcha ujeuri utakosa mume. Shauri yako
Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
View attachment 3074593
Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na hii kasi ni kubw awamu ya huyu Mama ambaye yeye haoni shismda kabisa kuuza maeneo kwa Wawekezaji hasa wa kutoka Ujombani kule.
Target ya Mama hadi anatoka Madarakani ni kuuza angalau mkoa mmoja mzima kabisa na raia wake wanauzwa.
Kuna watanzania wamewekeza china??au ndo kichwa umefugia nywele tuu???Kama wameridhia na wakilishi wa wanakijini na viongozi wetu, sioni kama kuna kosa bado tunahitaji wawekezaji ili tupate maendeleo, mambo ya ushabiki tuachana nao, hamna cha ujomba au shangazj mbona wa China wapo kila sehemu?
🤣Mabeyo alitukosea sana watz!
Wenzie waliona mbali alafu yeye eti katiba katiba,
Ona hizi shida sasa