Wilaya ya Hai kijiji cha Tindigani ndicho chote kapewa Mjomba wa Omani? Hii sio sawa

Tukiendelea kuchekacheka huko mbeleni watakabidhiwamarinda kutatua.
Mbona marinda mnatatuana wenyewe soku zote. Hawa akina Anti Bilali au James Delicious wametatuliwa hata kabla ya Waarabu. Au wale vijana waliomfira binti wa Yombo na kuoandishwa Mahakamani jana.
 
Hatari na nusu... Haya ndio mambo yatakayoamua uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao. Hivi watanzania ni nini tunaweza kuendeleza wenyewe?
Jiulize kwanza wewe mwenyewe umewahi kufanya nini?
 
Kama wewe una akili si ungetoa hata point kwa kuandika sentensi moja tu. Ukisikia Tanzania ina wapumbavu wengi basi mmoja wapo ninwewe chakii
Haihitaji akili mingi mtu kufahamu kuwa wewe ni mjinga, Period!
 
Mimi kwa maoni yangu na umri wangu maeneo yale wanakijiji wamevamia tangu mwanzo hilo eneo la ilikuwa eneo la air port vingine tuipongeze serikali miaka 30 iliyopita hapakuwa na watu ni wafugaji walikuwa wanachunga na kuweka boma za muda na wengine wakawa wanalima maharage ila palikuwa eneo la uwanja wa na ndege tukumbuke eneo la kia kutoka barabara ya Arusha mpaka geti la customer ni nauli 5 urefu hivyo upana wake pia ni eneo kubwa tukumbuke eneo la rada liko mbali watu walikuwa wamesogea sana
 

Duuuuhhhhh kuna siku mnaweza kuamka asubuhi mkakuta na Dar imefutwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haihitaji akili mingi mtu kufahamu kuwa wewe ni mjinga, Period!
Kilaza mvivu unaishi sebuleni kwa shemeji, kutwa kugombea remote na watoto wa dada yako. Unajuwa neno moja tu la kiingereza eti "Period"
 
Kilaza mvivu unaishi sebuleni kwa shemeji, kutwa kugombea remote na watoto wa dada yako. Unajuwa neno moja tu la kiingereza eti "Period"

Punguza maneno mchumba
 

View: https://x.com/marwason57/status/1826257295908684109?t=WI5ne7COHeKvJzwiTqBP9g&s=19
 
Sheria yetu ya kijinga ina sema ardhi yote iko chini ya usimamizi wa Rais
 
Mabeyo alitukosea sana watz!

Wenzie waliona mbali alafu yeye eti katiba katiba,

Ona hizi shida sasa
 
Kama wameridhia na wakilishi wa wanakijini na viongozi wetu, sioni kama kuna kosa bado tunahitaji wawekezaji ili tupate maendeleo, mambo ya ushabiki tuachana nao, hamna cha ujomba au shangazj mbona wa China wapo kila sehemu?
Kuna watanzania wamewekeza china??au ndo kichwa umefugia nywele tuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…