Wilaya ya Rombo inateketea kwa unywaji wa Pombe

Wilaya ya Rombo inateketea kwa unywaji wa Pombe

Babu19

New Member
Joined
May 23, 2024
Posts
1
Reaction score
8
Naomba serikali iingilie kati suala la unywaji wa pombe uliokithiri katika wilaya ya Rombo, Serikali imeruhusu uanzishaji wa viwanda vya pombe za bei rahisi, "Pombe za Kijani" kwa kuangalia mapato ila kizazi cha Rombo kinateketea.

Baada ya miaka kadhaa ijayo Rombo itakuwa na hali mbaya sana Serikali isopochukua hatua kuteketeza viwanda hivi. Ni kilio na majonzi ukiona vijana wa Rombo walivyochakazwa na Pombe.

Kazi ya serikali sikuzote ni Regulation au kuondoa kabisa pombe hizo sokoni.

Naomba Serikali kuu ielekeze macho Rombo, inaonekana serikali iliyopo huku chini kwa namna moja au nyingine wameshindwa kutatua hili.



Pia soma: Vijana wa Rombo - Kilimanjaro wanateketea kwa unywaji pombe hovyo
 
Vijana wanasema pesa wanatafuta wao Kwa jasho lao mkuu ,,IWEJE UWAPANGIE MATUMIZI..

CCM ndio imetufikisha hapa na wamiliki wa hvyo viwanda uchwara vya pombe ngumu ,unaweza Kuta n hao hao viongozi wetu..

Asantee
 
Kuna pombe Moja inaitwa Barabara ya vumbi ipo Rombo maeneo ya Ngareni aisee ni hatari inawekwa kwenye vikopo vya Mo energy kijana akinywa wivili anazima.

Bei yake ni Tsh 300/= mia tatu/ mia isadu
 
Hii iliwahi tangazwa miaka minne nyuma kuwa wanawake wa rombo wanashea na wanaume wa Kenya eti Wayne zao(Warombo) Hawajiwezi
Ikapelekea mpk mkuu wilaya wkt huo kupiga marufuku upikaji na unywaji pombe ili kunusuru Wilaya
 
Hebu weka Ushahidi wa Kitakwimu hapa
Hamtaki kuamini wagumu kwa sasa mmekua walaini??
Screenshot_20240915-183512_Samsung Internet.jpg


 
Si Rombo tu, maeneo mengi katika vijiji vya kilimanjaro kwa nyakati hizi vijana wanachangamoto kutokana na hizi pombe za bei rahisi; vijana hawana nguvu ata za kuchimba kaburi, na idadi ya watu si kubwa.

Zamani walikuwa wanatumia pombe za asili hizi za kawaida kama 'mbege' ambayo ilikuwa haiwapi madhara, ila nyakati hizi, hizi pombe za asili zinawekewa michanganyiko ya kila namna na kuathiri vijana.

Bila ndugu, marafiki, jamaa, na wazazi kusimamia vijana wao; kuna uwezekano nguvu kazi kupungua.​
 
Si Rombo tu, maeneo mengi katika vijiji vya kilimanjaro kwa nyakati hizi vijana wanachangamoto kutokana na hizi pombe za bei rahisi; vijana hawana nguvu ata za kuchimba kaburi, na idadi ya watu si kubwa.

Zamani walikuwa wanatumia pombe za asili hizi za kawaida kama 'mbege' ambayo ilikuwa haiwapi madhara, ila nyakati hizi, hizi pombe za asili zinawekewa michanganyiko ya kila namna na kuathiri vijana.

Bila ndugu, marafiki, jamaa, na wazazi kusimamia vijana wao; kuna uwezekano nguvu kazi kupungua.​
Naona wamebeba utaalam toka kwa ndugu zao wakenya,,,,,na wasipojicheki wakina mangi miaka ijayo huo mlima kitatawala kizazi cha wakamba na wakikuyu tu
 
Hamtaki kuamini wagumu kwa sasa mmekua walaini??View attachment 3096591

Sijakataa kuamini, elewa....Hiyo ni Takwimu ya Mwaka gani? Kwasababu wale vijana watatu waliokamatwa kwa kesi ys Ulawiti ni watu wa Pwani waliohamia Arusha na hawana hata muda mrefu
 
Ni kweli serikali hii chini ya ccm ina nia mbaya sana na kaskazini. Highlife na gongo zinamaliza vijana. Sijui ni kwa nini hawachomi kiwanda cha highlife. Kuna kiwingu na kisungura pia.
Sijui ni kwa nini serikali ya vijiji huko haizuii unywaji wa pombe muda wa kazi.
 
Ni kweli serikali hii chini ya ccm ina nia mbaya sana na kaskazini. Highlife na gongo zinamaliza vijana. Sijui ni kwa nini hawachomi kiwanda cha highlife. Kuna kiwingu na kisungura pia.
Sijui ni kwa nini serikali ya vijiji huko haizuii unywaji wa pombe muda wa kazi.
Ukitaka kuamini vijana wanaharibika nenda huko Upareni na Ugweno...hata Kuoa na kumjaza Mwanamke mimba ni tatizo kwasasa
 
Back
Top Bottom