Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Mashoga wa kichaga nao wamoUlevi na vijana kupenda kulelewa/umarioo/mishangazi ni ugonjwa mkubwa wa Rombo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashoga wa kichaga nao wamoUlevi na vijana kupenda kulelewa/umarioo/mishangazi ni ugonjwa mkubwa wa Rombo.
Duh,Kuna pombe Moja inaitwa Barabara ya vumbi ipo Rombo maeneo ya Ngareni aisee ni hatari inawekwa kwenye vikopo vya Mo energy kijana akinywa wivili anazima.
Bei yake ni Tsh 300/= mia tatu/ mia
Ulianza Middle East kwa Waarabu Kabla Yesu hajazaliwa.
Ulienea mapema sehemu walizofika waarabu hapo mwanzo.
Mpaka sasa Waarabu ni vinara katika hilo
Tukiwazidi warusi kwa Unywaji Pombe ndo tutaacha kunywa, Rombo Pombe inanyweka na jinsia zote, Hakuna cha wamama wala wababa.Yaani wanaume wa Rombo muda wote wamelewa, hata kazi hawawezi kufanya. Familia kwa kiasi kikubwa zinaendeshwa na akina mama. Ni kama kuna ka laana ka ulevi kwa wale ndugu zake min -me
Kumbe ni sifa!!Tukiwazidi warusi kwa Unywaji Pombe ndo tutaacha kunywa, Rombo Pombe inanyweka na jinsia zote, Hakuna cha wamama wala wababa.
Iyo ni nature. We kunywa Soda zako tulia hujalazimishwa kunywa Pombe
Kiboboso je mnaijuaaa?Kuna pombe Moja inaitwa Barabara ya vumbi ipo Rombo maeneo ya Ngareni aisee ni hatari inawekwa kwenye vikopo vya Mo energy kijana akinywa wivili anazima.
Bei yake ni Tsh 300/= mia tatu/ mia isadu
Heee inapatikana wapi Mkuu ha ha haKiboboso je mnaijuaaa?
Ni sifa moja wapo, nyie na izo Soda zenu mna maendeleo yapi kuizidi romboKumbe ni sifa!!
Basi endeleeni kulewa maana ni maendeleo.Ni sifa moja wapo, nyie na izo Soda zenu mna maendeleo yapi kuizidi rombo
Uko ambako hawanywi pombe kuna maendeelo gani kuzidi Rombo.Basi endeleeni kulewa maana ni maendeleo.
Kuna pombe Moja inaitwa Barabara ya vumbi ipo Rombo maeneo ya Ngareni aisee ni hatari inawekwa kwenye vikopo vya Mo energy kijana akinywa wivili anazima.
Bei yake ni Tsh 300/= mia tatu/ mia isadu