Wilaya ya Rombo inateketea kwa unywaji wa Pombe

Wilaya ya Rombo inateketea kwa unywaji wa Pombe

Ni kweli serikali hii chini ya ccm ina nia mbaya sana na kaskazini. Highlife na gongo zinamaliza vijana. Sijui ni kwa nini hawachomi kiwanda cha highlife. Kuna kiwingu na kisungura pia.
Sijui ni kwa nini serikali ya vijiji huko haizuii unywaji wa pombe muda wa kazi.
Ila huko ndugu zetu si mnasemaga nyie mmejitambua tokea enzi za mkoloni na kuna elimu kubwa huko,,,,,mbona kajambo kadogo kama haka mangi mnataka na serikali iingilie
 
Ila huko ndugu zetu si mnasemaga nyie mmejitambua tokea enzi za mkoloni na kuna elimu kubwa huko,,,,,mbona kajambo kadogo kama haka mangi mnataka na serikali iingilie
Kujitambua tangu zamani haimaanishi kwa 100 watu wote ni Intellectuals

Hata Greece/ Uyunani iliyosheeni Manguli wa Elimu ya Dunia ilikuwa pia na Wajinga na Hata Rumi ilikuwa na Wapumbavu wengi tu
 
Kujitambua tangu zamani haimaanishi kwa 100 watu wote ni Intellectuals

Hata Greece/ Uyunani iliyosheeni Manguli wa Elimu ya Dunia ilikuwa pia na Wajinga na Hata Rumi ilikuwa na Wapumbavu wengi tu
Sie wasukuma tunawaangalia na tunacheka hiiiiiii.......hizo laana mlizoziingiza kwenye hizo ardhi zenu zitawatafuna sana na vizazi vyenu msiposhtuka mapema
 
Ndio naskiaga Kuna pombe ipo hapo Rombo ukibugia fundo Moja kama sio kujamba ni mharoo kabisaaaa.

Wengi kabla hawajaimeza hubana miguu yao ipasavyo lakini wapiiii alimentary canal inafunguka tuuu pyuuiuuuiu😂😂😂.
 
Hebu zitaje, ni laana zipi?
Hizo NGO za wazungu zilizojazana huko ndo zinawapa vijana wenu akili za kuanza kupenda michezo ya matopeni,,,,,hao jamaa wanakuja na vidola vyao mnakenua tu mnajua wanawapenda ila wakiondoka wanaacha laana kama hizo.....yani siku hizi hadi masai huko zenji anauza utu wake kwa mzungu
 
Hizo NGO za wazungu zilizojazana huko ndo zinawapa vijana wenu akili za kuanza kupenda michezo ya matopeni,,,,,hao jamaa wanakuja na vidola vyao mnakenua tu mnajua wanawapenda ila wakiondoka wanaacha laana kama hizo.....yani siku hizi hadi masai huko zenji anauza utu wake kwa mzungu
Kihistoria Ushoga miaka zaidi ya 500 kabla yesu hajazaliwa, tangu enzi na enzi...hakuna jamii au nchi ambayo haina hayo mambo

Pwani yote hasa Zanzibar ndio Waasisi wa haya mambo...so hapo tusiwasingizie Wazungu
 
Nimegundua hapa Kuna watu wanachuki na wachaga wanashadadia vijana wakichaga wanaodumbukia kwenye ulevi..
Ukiwa na maendeleo au mpenda maendeleo Iko vita kubwa sana nyuma Yako Hawa wachawii wana roho za kwanini wanachuki sana wachaga
 
Baada ya miaka kadhaa ijayo Rombo itakuwa na hali mbaya sana Serikali isopochukua hatua kuteketeza viwanda hivi. Ni kilio na majonzi ukiona vijana wa Rombo walivyochakazwa na Pombe.
Wameanza kunywa tangu enzi za Babu yako we umeona leo unashtuka?
 
Kihistoria Ushoga miaka zaidi ya 500 kabla yesu hajazaliwa, tangu enzi na enzi...hakuna jamii au nchi ambayo haina hayo mambo

Pwani yote hasa Zanzibar ndio Waasisi wa haya mambo...so hapo tusiwasingizie Wazungu
Ulianza Middle East kwa Waarabu Kabla Yesu hajazaliwa.

Ulienea mapema sehemu walizofika waarabu hapo mwanzo.
 
Umeamua kuja na ID mpya kuwachoma ndugu zako wa Rombo. Sirikali haina cha kufanya kwa sababu inachukua kodi kutoka kwenye hivyo viwanda vya pombe kali
 
Kihistoria Ushoga miaka zaidi ya 500 kabla yesu hajazaliwa, tangu enzi na enzi...hakuna jamii au nchi ambayo haina hayo mambo

Pwani yote hasa Zanzibar ndio Waasisi wa haya mambo...so hapo tusiwasingizie Wazungu
Kinara wa ushoga ni mgiriki....mzungu,,,,,,,,,haya mnasema hao waasisi ila mbona takwimu kwasasa mnawapita hadi hao waasisi
 
Kinara wa ushoga ni mgiriki....mzungu,,,,,,,,,haya mnasema hao waasisi ila mbona takwimu kwasasa mnawapita hadi hao waasisi
Hapana hao Waarabu ni waasisi kwasababu wao wanaita sunna... halafu wanawaharibu mpaka wanawake na watoto wa kike tupu ya nyuma na kuwatunzia bikira ya mbele mpk wakati wa Ndoa
 
Hapana hao Waarabu ni waasisi kwasababu wao wanaita sunna... halafu wanawaharibu mpaka wanawake na watoto wa kike tupu ya nyuma na kuwatunzia bikira ya mbele mpk wakati wa Ndoa
Ushaskia ukivamia meli ya mwarabu unafii........mbona huo msemo upo kwenye meli za kigiriki tu, na pia mbona Nyerere aliwatimua mbio wagiriki miaka hio sababu ya ushenzi wao na kwanini hawakuwafukuza hao wa pwani????
 
Back
Top Bottom