Wilaya ya Rungwe, Ijumaa wanafunzi huwa hawarudi nyumbani saa 5 kama mtaala unavyotaka

Wilaya ya Rungwe, Ijumaa wanafunzi huwa hawarudi nyumbani saa 5 kama mtaala unavyotaka

BestOfMyKind

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2012
Posts
1,350
Reaction score
1,464
Kati ya mambo ya ajabu nchini, ni hili la kutofuatwa mtaala la wilaya ya Rungwe.

Yaani wilaya yote imeamua siku ya Ijumaa vipindi vya darasani vitaisha muda wa kawaida ( saa 9 kwa msingi na saa 11 kwa sekondari)

Hakuna uhiari wa kuwepo au kutokuwepo shule muda wa swala ya ijumaa, tofauti na siku ya sabato ambapo sio lazima kwenda shule na siku ya jumapili ambayo sio lazima pia.

Utaratibu huu haujaanza leo.

Hoja yangu mimi hapa ni, tuwe na uvumilivu na dini za watu.

Katika nchi ambayo watu tunavumiliana nyinyi Rungwe siyo spesho. Miji mikubwa inafuata taratibu kwanini nyinyi tu?

Suala hili lipo hata kwenye mitaala ila nyinyi mnajiona mna akili kuliko Serikali kuu.
 
Hizi mambo za nusu siku kwa wanafunzi km hao yapo, nnachojua huwa wanavipindi vya dini na wanafundishwa huko ama Kuna utaratibu wa watt wa kiislam kuachiwa wakati wa swala ijumaa.

Zamani shuleni kwetu walipewa ruhusa ya kwenda kuabudu na kutuacha wengine tukiendelea na shule km kawaida kwa kufanya revision.

Kingine, Dini hizi tuwe nazo Makini tu hazijawahi mpa mtu ugali Wala maisha mazuri, isipokuwa Imani na kumjua Mungu.
 
Inaelekea wewe ni mvivu wa shule, mbona watu wazima wanakua ofisini Ijumaa na hawalalamiki! Soma ukimaliza fungua biashara na Ijumaa funga saa tano nenda msikitini.

Rungwe waisilamu ni wachache sana unaweza ukakuta darasa zima ni watatu tu, soma na huenda hata msikitini hua hauendi ila, oooh nimekumbuka, wewe si mwanafunzi sasa haya ya darasa unayatakia nini! Au kuna kastudenti unataka ukatoe Ijumaa sasa umebanwa, waache watoto wasome wataswali sana wakimaliza
 
Kati ya mambo ya ajabu nchini, ni hili la kutofuatwa mtaala la wilaya ya Rungwe.

Yaani wilaya yote imeamua siku ya Ijumaa vipindi vya darasani vitaisha muda wa kawaida ( saa 9 kwa msingi na saa 11 kwa sekondari)

Hakuna uhiari wa kuwepo au kutokuwepo shule muda wa swala ya ijumaa, tofauti na siku ya sabato ambapo sio lazima kwenda shule na siku ya jumapili ambayo sio lazima pia.

Utaratibu huu haujaanza leo.

Hoja yangu mimi hapa ni, tuwe na uvumilivu na dini za watu.

Katika nchi ambayo watu tunavumiliana nyinyi Rungwe siyo spesho. Miji mikubwa inafuata taratibu kwanini nyinyi tu?

Suala hili lipo hata kwenye mitaala ila nyinyi mnajiona mna akili kuliko Serikali kuu.
Kati ya mambo ya ajabu nchini, ni hili la kutofuatwa mtaala la wilaya ya Rungwe.

Yaani wilaya yote imeamua siku ya Ijumaa vipindi vya darasani vitaisha muda wa kawaida ( saa 9 kwa msingi na saa 11 kwa sekondari)

Hakuna uhiari wa kuwepo au kutokuwepo shule muda wa swala ya ijumaa, tofauti na siku ya sabato ambapo sio lazima kwenda shule na siku ya jumapili ambayo sio lazima pia.

Utaratibu huu haujaanza leo.

Hoja yangu mimi hapa ni, tuwe na uvumilivu na dini za watu.

Katika nchi ambayo watu tunavumiliana nyinyi Rungwe siyo spesho. Miji mikubwa inafuata taratibu kwanini nyinyi tu?

Suala hili lipo hata kwenye mitaala ila nyinyi mnajiona mna akili kuliko Serikali kuu.
Mkuu hakuna sehemu kwenye mtaala inayotaka ijumaa wanafunz warud SAA Tano, vipindi Kwa mwanafunz vinatakiwa at least nane per day. Mikoa inayoruhusu wanafunz kurudi SAA sita ni Kwa Sababu ya nature ya eneo husika. Mf Kilimanjaro Kwa baadhi ya maeneo kama mwanga Hasa miliman watoto wanarud SAA sita Moja wa Moja Tena ni wa sekondar. Primary Kama kawa SAA kumi na nusu. Pia Kama jamii ya eneo husika asilimia kubwa ni waislam hoja Yko Huwa inaweza zingatiwa jpo si lazma.mwalimu piga kaziii
 
Hii siku ya Ijumaa mpaka watu waidai ndio itazingatiwa.

Kuna mtu amesema hakuna utaratibu wa nusu siku. Inashangaza

Nafikiri pia ni kwa kuwa wanaharakati wa Kiislamu wamenyongwa kutetea baadhi ya mambo thus watoto wa Kiislamu hawapewi nguvu kwenye siku yao ya kuabudu.
 
Kati ya mambo ya ajabu nchini, ni hili la kutofuatwa mtaala la wilaya ya Rungwe.

Yaani wilaya yote imeamua siku ya Ijumaa vipindi vya darasani vitaisha muda wa kawaida ( saa 9 kwa msingi na saa 11 kwa sekondari)

Hakuna uhiari wa kuwepo au kutokuwepo shule muda wa swala ya ijumaa, tofauti na siku ya sabato ambapo sio lazima kwenda shule na siku ya jumapili ambayo sio lazima pia.

Utaratibu huu haujaanza leo.

Hoja yangu mimi hapa ni, tuwe na uvumilivu na dini za watu.

Katika nchi ambayo watu tunavumiliana nyinyi Rungwe siyo spesho. Miji mikubwa inafuata taratibu kwanini nyinyi tu?

Suala hili lipo hata kwenye mitaala ila nyinyi mnajiona mna akili kuliko Serikali kuu.
 
Nilitarajia malalamiko ya nguvu kama hii yaelekezwe kuhoji kwa nini Petrol inapanda kila kukicha!
 
Hatuwezi kuendelea kwa namna hiyo
 
Hakuna mtaala wala waraka unaosema masomo yaishe saa tano Ijumaa. Kilichopo ni kwamba, ifikapo saa 6:20 mchana, vipindi vinasitishwa hadi saa 7:20 mchana baada ya swala halafu shughuli zinaendelea.
 
Tanga watoto huwa wanaachiwa wote kabisa ikifika saa tano tu.
 
Tupe na matokeo ya kitaifa Rungwe ni ya ngapi?
 
Hii siku ya Ijumaa mpaka watu waidai ndio itazingatiwa.

Kuna mtu amesema hakuna utaratibu wa nusu siku. Inashangaza

Nafikiri pia ni kwa kuwa wanaharakati wa Kiislamu wamenyongwa kutetea baadhi ya mambo thus watoto wa Kiislamu hawapewi nguvu kwenye siku yao ya kuabudu.
Wazazi wao wanaofanyakazi siku za Ijumaa wanapewa nusu siku? Muache mwanao asome wewe ulikwishamaliza, akimaliza shule na kuwa askari sijui nako utakwenda kumtetea avae hijabu?
 
Back
Top Bottom