Wilaya yenye guest house nyingi

Wilaya yenye guest house nyingi

Daah kama Dodoma sijaona na babati ndo nyumban
 
Zinatusaidia sana hizo gest house sijui tungekuwa tunaenda wapi siye .


Sent from my iPad using JamiiForums

Kweli mkuu zinasaidia sana,hapa nipo guest house,wapangaji wenzangu wamekataa kunifungulia geti.
 
Hapo unazungumzia kama uko mkoa wa ugenini alafu huna pa kufikia au unazungumzia kwenye mambo yetu yale?

Inaeleweka mkuu nyumba za wageni wenyeji


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Back
Top Bottom