Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Karatu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule watu wengi wana alama ya +ve, rate yake ni hatari sanaNjombe ndo sehemu yenye guest house nyingi zaidi Tanzania,
Na ikifika ijumaa SAA 2 zote zimejaa hadi jumatatu, nyiee!! ule mji wananyanduana ni balaa
Mpaka sasa wilaya ya Bunda ndio wilaya yenye guest house nyingi zaidi nchini 405
Mkuu masasi naifahamHujafika masasi.
Babati watu wanapigana miti mpaka sio poa. Niliwahi kuishi hapo kama miezi 6 hivi. Ni baraaaMimi katika kusafiri kwangu na kuishi maeneo mbali mbali, kati ya wilaya ambazo zina guest house nyingi ni Dodoma Mjini na Babati Mjini. Unakuta katika nyumba kumi za katikati ya mji 7 ni Guest houses. Ongezea wilaya ambayo unadhani ina GH nyingi
Mbagala ndo balaaHapana chezeya temeke.
Ngokolo hiyo 🤣Wilaya ya kishapu mkoa wa shy inafuatia katika kila nyumba 2 moja ni gesti!