Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini

Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini

the horse

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
652
Reaction score
442
Jana Jumamosi Februari 19, 2022 Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini lililoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Suleiman Mwenda na kuhudhuriwa na Wadau mbalimbali wa Madini wa ndani ya Wilaya na kutoka Makao Makuu huku Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Lemomo Kiruswa akiwa Mgeni rasmi akimuwakilisha Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko.

Naibu Waziri Kiruswa alisema "Kwa mara ya kwanza Mimi ndo nimesikia suala hili kwa Mkuu wa Wilaya kuandaa Kongamano kubwa kama hili la Madini. Kwakweli niwe mkweli, Wewe (DC Mwenda) ni DC pekee ndani ya mkoa wa Singida na Tanzania kwa ujumla kuandaaa kongamano la Madini. Sijawahi kusikia Mimi. Kwakweli katika hili nikupongeze sana Mkuu wa Wilaya hii ya Iramba kwa ubunifu huu. Kongamano hili litasaidia sana kuona fursa na changamoto zilizopo kwenye Sekta yetu ya Madini kwenye Wilaya ya Iramba."

"Lakini Kongamano hili limekuwa na mafanikio makubwa sana, natarajia litafanyika Kongamano kubwa kama hili kwa ngazi ya Mkoa na litasaidia sana."

IMG-20220219-WA0057.jpg
 
Yaani Badala ya kueleza Hilo Kongamano lililenga Nini,mjadala ulikuwaje, Nini matarajio ....Wewe unatuletea Visifa alivyopewa Mkuu wa Wilaya!
Au ni wewe Mh.Mkuu wa Wilaya ,unajifagilia ...anyway hongera ...ila tunataka utueleze tija ya Hilo Kongamano Kwa Wilaya Yako!
 
Tumechoshwa na makongamano ambayo hayana tija sema kwanza wewe umenufaika vipi na hilo kongamano
 
Eleza lengo la Hilo kongamano je wananchi wa wilaya hyo watanufaikaje ajira kwa wazawa wa eneo hilo zipoje?

Badala yake unakuja na kijisehemu Cha kusifia

JE HILO NDIO LENGO KUU LA HILO KONGAMANO KUSIFIA TU ?

nahitaji majibu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Jana Jumamosi Februari 19, 2022 Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini lililoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Suleiman Mwenda na kuhudhuriwa na Wadau mbalimbali wa Madini wa ndani ya Wilaya na kutoka Makao Makuu huku Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Lemomo Kiruswa akiwa Mgeni rasmi akimuwakilisha Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko.

Naibu Waziri Kiruswa alisema "Kwa mara ya kwanza Mimi ndo nimesikia suala hili kwa Mkuu wa Wilaya kuandaa Kongamano kubwa kama hili la Madini. Kwakweli niwe mkweli, Wewe (DC Mwenda) ni DC pekee ndani ya mkoa wa Singida na Tanzania kwa ujumla kuandaaa kongamano la Madini. Sijawahi kusikia Mimi. Kwakweli katika hili nikupongeze sana Mkuu wa Wilaya hii ya Iramba kwa ubunifu huu. Kongamano hili litasaidia sana kuona fursa na changamoto zilizopo kwenye Sekta yetu ya Madini kwenye Wilaya ya Iramba."

"Lakini Kongamano hili limekuwa na mafanikio makubwa sana, natarajia litafanyika Kongamano kubwa kama hili kwa ngazi ya Mkoa na litasaidia sana."

View attachment 2124494
Ndio maana tanzania ni maskini.
 
Jana Jumamosi Februari 19, 2022 Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini lililoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Suleiman Mwenda na kuhudhuriwa na Wadau mbalimbali wa Madini wa ndani ya Wilaya na kutoka Makao Makuu huku Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Lemomo Kiruswa akiwa Mgeni rasmi akimuwakilisha Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko.

Naibu Waziri Kiruswa alisema "Kwa mara ya kwanza Mimi ndo nimesikia suala hili kwa Mkuu wa Wilaya kuandaa Kongamano kubwa kama hili la Madini. Kwakweli niwe mkweli, Wewe (DC Mwenda) ni DC pekee ndani ya mkoa wa Singida na Tanzania kwa ujumla kuandaaa kongamano la Madini. Sijawahi kusikia Mimi. Kwakweli katika hili nikupongeze sana Mkuu wa Wilaya hii ya Iramba kwa ubunifu huu. Kongamano hili litasaidia sana kuona fursa na changamoto zilizopo kwenye Sekta yetu ya Madini kwenye Wilaya ya Iramba."

"Lakini Kongamano hili limekuwa na mafanikio makubwa sana, natarajia litafanyika Kongamano kubwa kama hili kwa ngazi ya Mkoa na litasaidia sana."

View attachment 2124494
porojo nyingi wana hujasema Iramba kuna madini gani... au huyo dc wako ameandaa hicho anachokiita kingamano apige pesa tu
 
Ujinga tu. Kongamano ndiyo litasaidia nn? Ulaji tu
 
Jana Jumamosi Februari 19, 2022 Wilayani Iramba Mkoani Singida pamefanyika Kongamano kubwa sana la Madini lililoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Suleiman Mwenda na kuhudhuriwa na Wadau mbalimbali wa Madini wa ndani ya Wilaya na kutoka Makao Makuu huku Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Lemomo Kiruswa akiwa Mgeni rasmi akimuwakilisha Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko.

Naibu Waziri Kiruswa alisema "Kwa mara ya kwanza Mimi ndo nimesikia suala hili kwa Mkuu wa Wilaya kuandaa Kongamano kubwa kama hili la Madini. Kwakweli niwe mkweli, Wewe (DC Mwenda) ni DC pekee ndani ya mkoa wa Singida na Tanzania kwa ujumla kuandaaa kongamano la Madini. Sijawahi kusikia Mimi. Kwakweli katika hili nikupongeze sana Mkuu wa Wilaya hii ya Iramba kwa ubunifu huu. Kongamano hili litasaidia sana kuona fursa na changamoto zilizopo kwenye Sekta yetu ya Madini kwenye Wilaya ya Iramba."

"Lakini Kongamano hili limekuwa na mafanikio makubwa sana, natarajia litafanyika Kongamano kubwa kama hili kwa ngazi ya Mkoa na litasaidia sana."

View attachment 2124494
Kila mtu anafanya kongamano lake?

Kongamano la Kitaifa la Wizara limeandaliwa nendeni mkafanye presentation ya fursa.
 
DC unajipigia chapuo😅😆
Mkuu, mleta mada ungeleta mapicha picha ya still na mnato,
Madini yepi yapo Singidani dhahabu, kule Ikungi sijui kule kabla ya Sekenke,
Je, kuna Vito labda ruby, sapphire, diamonds??
Ungeleta makampuni yaliyoshiriki,
Mafanikio, changamoto, lini tena??

Wewe mada ni kumsifia DC au hii ID ya DC?
 
Wewe ni DC wa hovyo kabisa, umeshindwa hata kutuelezea madini yanayopatikana huko Iramba?
 
Nimesoma komenti zote na uzi wenyewe imebidi ni-mute na kusepa fasta. Watu mmepinda!!!
 
Back
Top Bottom