Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #41
Nani anapigana kitozi Wilder au AJ?Mkuu hiv unajua height ya wilder na floyd,kwanza tuanze hapo...
Wakisimama ni sawa hasheem thabit na joti..uzito, je...hata sku1 usimfananishe heavy weight na light weight
Floyd ni undesputed kwenye height yake mkuu,..acha masihara kabsa
Pia wilder kwa AJ anakalishwa sabab anapigana kitoz,
Kwani Floyd kipindi anaitwa pretty boy ni sawa na Money May?Mkuu kuwa kwenye prime hakudetermine chochote umri wa mtu..
Unaweza ukamantain prime yako kwa miaka hata kumi (consistence) kama unavowaona akina Ronaldo na Messi tangia wakiwa vijana wa miaka 20 mpaka sasa hawana tofauti..
Lakini pia unaweza ukawa kwenye prime yako kwa muda mchache tu, miaka miwili mpaka mitano ukaanza kuteremka.. Kuanzia 2014 Pac Man hakuwa yule wa 2007-12.. Na Floyd ndio kipindi alichokuwa akimkwepa..
Ujamtendea haki Mike TysonKizazi cha sa hivi kwenye masumbwi bado sijaona bondia kama kizazi cha kina Muhammad ali, joe frazier, sugar ray robinson na kadhalika
Sio AJ sio wilder sio Parker
Nazungumzia height na weight pia,au hujui hvyo vinachangia kwenye uwezo wa boxer?n why u calin me casual fan,..u think u know me better,..Wewe unazungumzia height au weight?
Hahahahahaaaa daaaah!
Casual boxing fans mnachekesha sana.
Hiv kwel mtu 6.7ft na 5.8 kwel mnawafananisha hawa watu wawil kwel,..tyson hajawai pigana na mtu mweny height difference ya hvyo,...mim bnafs nna 6ft..so mtu mwenye 6.7 kanipita mbal sana,ndo uje useme huyu andunje,kwel...hapo bado hatujaongea weight,na ubora wa mtu mwenyew bnafsiNani anapigana kitozi Wilder au AJ?
Halafu umetumia kigezo cha urefu ,embu kaangalie Tyson alivyokuwa anapigana na majitu marefu marefu lakini alikuwa anayakalisha . au hata Floyd amepigana na majitu marefu marefu lakini ameyakalisha kama kawa.
Hiv kwel mtu 6.7ft na 5.8 kwel mnawafananisha hawa watu wawil kwel,..tyson hajawai pigana na mtu mweny height difference ya hvyo,...mim bnafs nna 6ft..so mtu mwenye 6.7 kanipita mbal sana,ndo uje useme huyu andunje,kwel...hapo bado hatujaongea weight,na ubora wa mtu mwenyew bnafsiWewe unazungumzia height au weight?
Hahahahahaaaa daaaah!
Casual boxing fans mnachekesha sana.
Hivi mkuu unakielewa nilichokwambia na we unachokibishia??Kwani Floyd kipindi anaitwa pretty boy ni sawa na Money May?
Hivi unajua K.Os nyingi Floyd alizipata kipindi anaitwa Pretty boy?
Sasa hapo nani katoka kwenye prime yake Kati ya Floyd na Pacuiao?
Waangalie tu walivyosimama hapo, alafu mtu ahamini May anaweza mpiga AJ au Wilder.. hahahaHiv kwel mtu 6.7ft na 5.8 kwel mnawafananisha hawa watu wawil kwel,..tyson hajawai pigana na mtu mweny height difference ya hvyo,...mim bnafs nna 6ft..so mtu mwenye 6.7 kanipita mbal sana,ndo uje useme huyu andunje,kwel...hapo bado hatujaongea weight,na ubora wa mtu mwenyew bnafsi
Yaan kwel kwa akil ya kawaida floyd amkalishe wilder,au labda sjawaelewa mnamaanisha nn
This is trueBinafsi naona AJ atapata challenge kubwa sana kuliko mapambano yaliyopita. Parker ni ngumi jiwe ...
Ndio maana nikakujibu anamkimbia kwa lipi haswa?Hivi mkuu unakielewa nilichokwambia na we unachokibishia??
Mbona argument yetu ni jambo dogo sana.. Ubishi sio nani angepigwa.. hizo sasa zinabaki kuwa predictions tu..
Argument ni hii "wewe unasema AJ anamkimbia Wilder ukimaanisha kwamba AJ hamuwezi au anamwogopa Wilder, nami nikakujibu mbona May alikuwa akimkimbia Pacquioa?"
Sasa go figure it..
Mbona huyo Floyd unayemwamini alimkwepa Man Pac akiwa kwenye prime yake..
Ngoja nikamtazame Joseph Parker anachezaje maana AJ namfahamu vyema ili huyu JP sijapata kumuona akicheza.Anthony Joshua v Joseph Parker on March 31.
Who ya got?
Ngoja nikamtazame Joseph Parker anachezaje maana AJ namfahamu vyema ili huyu JP sijapata kumuona akicheza.
Juzi nimeangalia tena mapambano deantay niliona udhaifu wake ni mrusha mangumi ovyo akipata mtu makini kama AJ anaondolewa japo sio mapema mapema kiivyo,
Kweli ni mchezaji mzuri ila sio zaidi ya AJ yaani AJ hata nje ya ulingo anaonekana ni mtulivu wa kila namna huyu mmarekani ana fujo na hana focus wakati anapocheza.
Joseph Denis Parker ni moto yampasa AJ kujipanga vema mnooo, huyu jamaa kwa record anafanana na AJ, wote wawili hawajawahi kupoteza pambana katika heavyweighty devision na kiumri hawakupishana kiivyo, kitu kinachonipa niweka 55% ya ushindi kwa AJ ni posture tuu kwa iyo bado kama ukiniambia nichague kwa kuweka mzigo naweza kushindwa maana hizi 45% kwangu bado naamini Parker anaweza kushinda pambano.Ni hivi, fundamentals za AJ ni nzuri zaidi ya za Deontay. Huko kwenye fundamentals ndo kuna mambo kama ya technique, posture, na kadhalika.
Ila ikija kwenye one punch knockout power, nadhani walio wengi wanakubali kuwa Deontay ni zaidi.
AJ hana concussive power kwenye ngumi zake. Kama anayo basi hatujaiona bado. Deontay yeye keshalithibitisha hilo mara nyingi tu.
Ikija kwenye nani ana kidevu kizuri, nadhani hapo hawajapishana sana.
Nani ana moyo? Nadhani wote wameshathibitisha kuwa wanaweza kukabiliana na dhoruba kali na bado wakaibuka kidedea.
Lakini maneno mengi ya nini? Waingie ulingoni tuone...
Wewe ni Pimbi hata hujui ngumi zinaendeshwaje. I guarantee you kwa uzito wa floyd wilder akiconnect moja tu,lazima floyd azimike moja kwa moja au atazindukia mortuary.Nina uhakika 100% Wilder hana uwezo wa kumkalisha Floyd licha ya Floyd kuwa na uzito mdogo kuliko Wilder lakini kila nikiwaweka wapinzani wa Wilder wanaochakazwa uwanjani nafasi yao nikimuweka Floyd naona kabisa zile ngumi za kizembe wanazopigwa angekua ni Floyd asingepigwa hata moja.
Pia staili ya Wilder kumfuata mpinzani wake hali ya kuwa kaachia wazi sehemu kubwa ya mwili wake naona kabisa angedokolowa ngumi nyingi sana mpaka maji angeita mma.
Hakika Floyd ni the most defensive genius ever hata Wilder hawezi kupangua defense ya Floyd
Na ile round ya 5 Ortiz angekuwa ndo AJ angekuwa keshakaaMzee Klitschko ni kizazi halisi cha ngumi ....pale dogo alijitahidi sana ndio maana akapata heshima kubwa. Wilder anapigana kikike sana. Muda wote alikuwa anamkwepa Ortiz hadi alipoona amechoka. Anthony Joshua akifanikiwa kutegua mtego wa Wilder wa kutoroka na kuvizia atamaliza pambano mapema sana. Ile round ya 7 angekuwa ni AJ pambano lingeisha ...
Unajua nani ana umri mkubwa? FLOYD 41 na PAC MAN 39Mbona huyo Floyd unayemwamini alimkwepa Man Pac akiwa kwenye prime yake..
Ongeza pia Klitscho alikuwa na miaka 41 wakati anapigana na AJ.Aliishachoka ndo maana pumzi ilikataWilder alikuwa anamkwepa Ortiz?
Hapana. Hilo si sahihi.
Unajua kuwa walikuwa wamepanga kupigana mwaka jana lakini Ortiz aka fail drug test?
Wilder hajawahi kumkwepa mtu.
Halafu Ortiz wala hajachoka.
Kabla ya Jumamosi rekodi yake ilikuwa ni 28-0 na 24 KOs.
Maana yake ni alikuwa undefeated kwenye pro ranks.
Meanwhile, wakati Joshua anapigana na Klitscho, jamaa [Klitschko] alikuwa anatoka kwenye long lay off na alikuwa kashindwa mpambano wake wa mwisho na Tyson Fury.
Halafu Klitschko kwanza alikuwa keshawahi kupigwa kwa knockout na Corrie Sanders. Lamon Brewster pia alimpiga kwa knockout. Hata Ross Purity alimpiga Klitschko kwa KO.
Kwa hiyo wakati Klitschko anapigana na Joshua, blueprint ya kumpiga kwa KO ilikuwepo tayari.
Kabla ya Jumamosi ni nani aliyekuwa kampiga Ortiz kwa KO kwenye pro ranks?
Wilder kafanya kitu ambacho hakuna bondia mwingine aliyeweza kukifanya kwa Ortiz.
Na kusema Wilder alikuwa anamkwepa Ortiz ni kutokujua mambo na kutokuwa mfuatiliaji mzuri wa combat sports.
Deontay Wilder has never ducked anybody.
Halafu unasema ile raundi ya saba ingekuwa ndo AJ pambano lingeisha?
Well, mbona pia hujasema kwenye ile raundi ya tano kwenye Joshua vs Klitschko ambapo Klitschko alimdondosha AJ, kama ingekuwa Wilder mpambano ungeishia hapo?
Hahahaa are you having selective amnesia sir?
AJ alikuwa hajitambui ile raundi ya tano. Hata raundi ya sita alikuwa hajitambui kabisa.
Sasa unadhani kama mbele yake angekuwa ndo yupo Wilder na si Klitschko, angechomoka kweli?
40 fights, 39 KOs, is an impressive record. It’s not a fluke either. Wilder’s power is real. It’s nothing to sneeze at.