Wilder ingawa ni heavyweight lakini hana uwezo wa kumkalisha Floyd Mayweather

Wilder ingawa ni heavyweight lakini hana uwezo wa kumkalisha Floyd Mayweather

Mkuu hiv unajua height ya wilder na floyd,kwanza tuanze hapo...

Wakisimama ni sawa hasheem thabit na joti..uzito, je...hata sku1 usimfananishe heavy weight na light weight

Floyd ni undesputed kwenye height yake mkuu,..acha masihara kabsa

Pia wilder kwa AJ anakalishwa sabab anapigana kitoz,
Nani anapigana kitozi Wilder au AJ?

Halafu umetumia kigezo cha urefu ,embu kaangalie Tyson alivyokuwa anapigana na majitu marefu marefu lakini alikuwa anayakalisha . au hata Floyd amepigana na majitu marefu marefu lakini ameyakalisha kama kawa.
 
Mkuu kuwa kwenye prime hakudetermine chochote umri wa mtu..

Unaweza ukamantain prime yako kwa miaka hata kumi (consistence) kama unavowaona akina Ronaldo na Messi tangia wakiwa vijana wa miaka 20 mpaka sasa hawana tofauti..

Lakini pia unaweza ukawa kwenye prime yako kwa muda mchache tu, miaka miwili mpaka mitano ukaanza kuteremka.. Kuanzia 2014 Pac Man hakuwa yule wa 2007-12.. Na Floyd ndio kipindi alichokuwa akimkwepa..
Kwani Floyd kipindi anaitwa pretty boy ni sawa na Money May?

Hivi unajua K.Os nyingi Floyd alizipata kipindi anaitwa Pretty boy?

Sasa hapo nani katoka kwenye prime yake Kati ya Floyd na Pacuiao?
 
Wewe unazungumzia height au weight?

Hahahahahaaaa daaaah!

Casual boxing fans mnachekesha sana.
Nazungumzia height na weight pia,au hujui hvyo vinachangia kwenye uwezo wa boxer?n why u calin me casual fan,..u think u know me better,..
 
Nani anapigana kitozi Wilder au AJ?

Halafu umetumia kigezo cha urefu ,embu kaangalie Tyson alivyokuwa anapigana na majitu marefu marefu lakini alikuwa anayakalisha . au hata Floyd amepigana na majitu marefu marefu lakini ameyakalisha kama kawa.
Hiv kwel mtu 6.7ft na 5.8 kwel mnawafananisha hawa watu wawil kwel,..tyson hajawai pigana na mtu mweny height difference ya hvyo,...mim bnafs nna 6ft..so mtu mwenye 6.7 kanipita mbal sana,ndo uje useme huyu andunje,kwel...hapo bado hatujaongea weight,na ubora wa mtu mwenyew bnafsi

Yaan kwel kwa akil ya kawaida floyd amkalishe wilder,au labda sjawaelewa mnamaanisha nn
 
Wewe unazungumzia height au weight?

Hahahahahaaaa daaaah!

Casual boxing fans mnachekesha sana.
Hiv kwel mtu 6.7ft na 5.8 kwel mnawafananisha hawa watu wawil kwel,..tyson hajawai pigana na mtu mweny height difference ya hvyo,...mim bnafs nna 6ft..so mtu mwenye 6.7 kanipita mbal sana,ndo uje useme huyu andunje,kwel...hapo bado hatujaongea weight,na ubora wa mtu mwenyew bnafsi

Yaan kwel kwa akil ya kawaida floyd amkalishe wilder,au labda sjawaelewa mnamaanisha nn
 
Kwani Floyd kipindi anaitwa pretty boy ni sawa na Money May?

Hivi unajua K.Os nyingi Floyd alizipata kipindi anaitwa Pretty boy?

Sasa hapo nani katoka kwenye prime yake Kati ya Floyd na Pacuiao?
Hivi mkuu unakielewa nilichokwambia na we unachokibishia??

Mbona argument yetu ni jambo dogo sana.. Ubishi sio nani angepigwa.. hizo sasa zinabaki kuwa predictions tu..

Argument ni hii "wewe unasema AJ anamkimbia Wilder ukimaanisha kwamba AJ hamuwezi au anamwogopa Wilder, nami nikakujibu mbona May alikuwa akimkimbia Pacquioa?"

Sasa go figure it..
 
Hiv kwel mtu 6.7ft na 5.8 kwel mnawafananisha hawa watu wawil kwel,..tyson hajawai pigana na mtu mweny height difference ya hvyo,...mim bnafs nna 6ft..so mtu mwenye 6.7 kanipita mbal sana,ndo uje useme huyu andunje,kwel...hapo bado hatujaongea weight,na ubora wa mtu mwenyew bnafsi

Yaan kwel kwa akil ya kawaida floyd amkalishe wilder,au labda sjawaelewa mnamaanisha nn
Waangalie tu walivyosimama hapo, alafu mtu ahamini May anaweza mpiga AJ au Wilder.. hahaha
1b0f30a652dd5093b2a377aa9d9a9aca.jpg
 
Namuona Wilder kama anafuta nyayo za TBE katika kupigana akitumia akili ya kumsubiri mpinzani afanye makosa ndipo ashambulie mfululizo kama mnakumbuka kuna round Kingkong aliteleza BronzeBomber akamkimbilia ili amalize pambano

Katika hili pambano liliamuliwa na height pia Kingkong hakua na stamina miguuni laiti angekua fiti kusimama kikamilifu nadhan round ya saba mchezo ungeisha.

BronzeBomber kipimo chake dhahiri ni AJ na Joseph Parker hawa wanaweza mpokonya mkanda wake huo bila wasiwas japo na BigBaby Miller nae anataka kumchallenge

BronzeBomber Kutetea mkanda kafanikiwa sasa mara ya 7 lakini je anatetea na mabondia wa kariba ipi? Hajawahi kutetea kwa mabondia ranked in top 10 zaidi ya hili la juzi la Kingkong.

Ana mapambano mawili ya kuidhibitishia dunia ubora wake dhidi ya AJ na JP.. Over
 
Hivi mkuu unakielewa nilichokwambia na we unachokibishia??

Mbona argument yetu ni jambo dogo sana.. Ubishi sio nani angepigwa.. hizo sasa zinabaki kuwa predictions tu..

Argument ni hii "wewe unasema AJ anamkimbia Wilder ukimaanisha kwamba AJ hamuwezi au anamwogopa Wilder, nami nikakujibu mbona May alikuwa akimkimbia Pacquioa?"

Sasa go figure it..
Ndio maana nikakujibu anamkimbia kwa lipi haswa?
 
mhh jamani wilder ngumi yake ni kama umerushuwa mfuko wa cement
 
Anthony Joshua v Joseph Parker on March 31.

Who ya got?
Ngoja nikamtazame Joseph Parker anachezaje maana AJ namfahamu vyema ili huyu JP sijapata kumuona akicheza.

Juzi nimeangalia tena mapambano deantay niliona udhaifu wake ni mrusha mangumi ovyo akipata mtu makini kama AJ anaondolewa japo sio mapema mapema kiivyo,

Kweli ni mchezaji mzuri ila sio zaidi ya AJ yaani AJ hata nje ya ulingo anaonekana ni mtulivu wa kila namna huyu mmarekani ana fujo na hana focus wakati anapocheza.
 
Ngoja nikamtazame Joseph Parker anachezaje maana AJ namfahamu vyema ili huyu JP sijapata kumuona akicheza.

Juzi nimeangalia tena mapambano deantay niliona udhaifu wake ni mrusha mangumi ovyo akipata mtu makini kama AJ anaondolewa japo sio mapema mapema kiivyo,

Kweli ni mchezaji mzuri ila sio zaidi ya AJ yaani AJ hata nje ya ulingo anaonekana ni mtulivu wa kila namna huyu mmarekani ana fujo na hana focus wakati anapocheza.

Ni hivi, fundamentals za AJ ni nzuri zaidi ya za Deontay. Huko kwenye fundamentals ndo kuna mambo kama ya technique, posture, na kadhalika.

Ila ikija kwenye one punch knockout power, nadhani walio wengi wanakubali kuwa Deontay ni zaidi.

AJ hana concussive power kwenye ngumi zake. Kama anayo basi hatujaiona bado. Deontay yeye keshalithibitisha hilo mara nyingi tu.

Ikija kwenye nani ana kidevu kizuri, nadhani hapo hawajapishana sana.

Nani ana moyo? Nadhani wote wameshathibitisha kuwa wanaweza kukabiliana na dhoruba kali na bado wakaibuka kidedea.

Lakini maneno mengi ya nini? Waingie ulingoni tuone...
 
Ni hivi, fundamentals za AJ ni nzuri zaidi ya za Deontay. Huko kwenye fundamentals ndo kuna mambo kama ya technique, posture, na kadhalika.

Ila ikija kwenye one punch knockout power, nadhani walio wengi wanakubali kuwa Deontay ni zaidi.

AJ hana concussive power kwenye ngumi zake. Kama anayo basi hatujaiona bado. Deontay yeye keshalithibitisha hilo mara nyingi tu.

Ikija kwenye nani ana kidevu kizuri, nadhani hapo hawajapishana sana.

Nani ana moyo? Nadhani wote wameshathibitisha kuwa wanaweza kukabiliana na dhoruba kali na bado wakaibuka kidedea.

Lakini maneno mengi ya nini? Waingie ulingoni tuone...
Joseph Denis Parker ni moto yampasa AJ kujipanga vema mnooo, huyu jamaa kwa record anafanana na AJ, wote wawili hawajawahi kupoteza pambana katika heavyweighty devision na kiumri hawakupishana kiivyo, kitu kinachonipa niweka 55% ya ushindi kwa AJ ni posture tuu kwa iyo bado kama ukiniambia nichague kwa kuweka mzigo naweza kushindwa maana hizi 45% kwangu bado naamini Parker anaweza kushinda pambano.

NDONDI NI MCHEZO WA KIUME HAUTAKI ZARAU WALE NGEBE... Pambano litakuwa zuri sana.

Acha tuone..
 
Nina uhakika 100% Wilder hana uwezo wa kumkalisha Floyd licha ya Floyd kuwa na uzito mdogo kuliko Wilder lakini kila nikiwaweka wapinzani wa Wilder wanaochakazwa uwanjani nafasi yao nikimuweka Floyd naona kabisa zile ngumi za kizembe wanazopigwa angekua ni Floyd asingepigwa hata moja.

Pia staili ya Wilder kumfuata mpinzani wake hali ya kuwa kaachia wazi sehemu kubwa ya mwili wake naona kabisa angedokolowa ngumi nyingi sana mpaka maji angeita mma.

Hakika Floyd ni the most defensive genius ever hata Wilder hawezi kupangua defense ya Floyd
Wewe ni Pimbi hata hujui ngumi zinaendeshwaje. I guarantee you kwa uzito wa floyd wilder akiconnect moja tu,lazima floyd azimike moja kwa moja au atazindukia mortuary.
 
Mzee Klitschko ni kizazi halisi cha ngumi ....pale dogo alijitahidi sana ndio maana akapata heshima kubwa. Wilder anapigana kikike sana. Muda wote alikuwa anamkwepa Ortiz hadi alipoona amechoka. Anthony Joshua akifanikiwa kutegua mtego wa Wilder wa kutoroka na kuvizia atamaliza pambano mapema sana. Ile round ya 7 angekuwa ni AJ pambano lingeisha ...
Na ile round ya 5 Ortiz angekuwa ndo AJ angekuwa keshakaa
 
Wilder alikuwa anamkwepa Ortiz?

Hapana. Hilo si sahihi.

Unajua kuwa walikuwa wamepanga kupigana mwaka jana lakini Ortiz aka fail drug test?

Wilder hajawahi kumkwepa mtu.

Halafu Ortiz wala hajachoka.

Kabla ya Jumamosi rekodi yake ilikuwa ni 28-0 na 24 KOs.

Maana yake ni alikuwa undefeated kwenye pro ranks.

Meanwhile, wakati Joshua anapigana na Klitscho, jamaa [Klitschko] alikuwa anatoka kwenye long lay off na alikuwa kashindwa mpambano wake wa mwisho na Tyson Fury.

Halafu Klitschko kwanza alikuwa keshawahi kupigwa kwa knockout na Corrie Sanders. Lamon Brewster pia alimpiga kwa knockout. Hata Ross Purity alimpiga Klitschko kwa KO.

Kwa hiyo wakati Klitschko anapigana na Joshua, blueprint ya kumpiga kwa KO ilikuwepo tayari.

Kabla ya Jumamosi ni nani aliyekuwa kampiga Ortiz kwa KO kwenye pro ranks?

Wilder kafanya kitu ambacho hakuna bondia mwingine aliyeweza kukifanya kwa Ortiz.

Na kusema Wilder alikuwa anamkwepa Ortiz ni kutokujua mambo na kutokuwa mfuatiliaji mzuri wa combat sports.

Deontay Wilder has never ducked anybody.

Halafu unasema ile raundi ya saba ingekuwa ndo AJ pambano lingeisha?

Well, mbona pia hujasema kwenye ile raundi ya tano kwenye Joshua vs Klitschko ambapo Klitschko alimdondosha AJ, kama ingekuwa Wilder mpambano ungeishia hapo?

Hahahaa are you having selective amnesia sir?

AJ alikuwa hajitambui ile raundi ya tano. Hata raundi ya sita alikuwa hajitambui kabisa.

Sasa unadhani kama mbele yake angekuwa ndo yupo Wilder na si Klitschko, angechomoka kweli?

40 fights, 39 KOs, is an impressive record. It’s not a fluke either. Wilder’s power is real. It’s nothing to sneeze at.
Ongeza pia Klitscho alikuwa na miaka 41 wakati anapigana na AJ.Aliishachoka ndo maana pumzi ilikata
 
Back
Top Bottom