kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,060
Kuberi afunikaye Majini ni kama binadamu tu! Sote tupo duniani kwa ajili ya kumuabudu Mungu! Kiukweli kabisa Majini wananguvu na uwezo zaidi yetu!
Vile vile majini wako wema na wabaya!
...
Wema hawana madhara kwa binadamu, wanamuabudu Mungu, na kufanya kila jambo jema! Wale viumbe wanatabia ya kupenda wanadamu, so, jini mwema akimpenda mwanadamu, humlinda binadamu huyo na maovu either ya kutendewa or anayotenda huyo mwanadamu! Jini hatokosa masharti akimpenda mwanadamu, masharti hayo ukienda kinyume ndio hapooo utakapoona mzuka wa jini!
...
Sasa basi jini mwema kama huyo, hauwezi kumtoa kwa maombi ya bible or Qurani, coz yeye mwenyewe ni mjuzi wa hivo vitu na ANAAMINI anachokifanya sio kibaya! So ukitaka kumfurusha huyu utafute jini aliemzidi nguvu tu! Tena kuna hatari hata usifanikiwe coz anaweza kukublock katikati ya process!
...
Majini mabaya ndio wanadhuru watu bila sababu, wanafanyisha watu vitendo viovu ie sodoma na uovu mwengine!
Majini hawa nawafananisha na majambazi, wizi, walaunga, wavuta bangi, malaya na wengineo!
...
Majini hawa ukiwapiga kisomo cha dini Quran/Bible ni lazima wadhurike na kukimbia mbio nyingi sana, kwa sababu wanajijua wao ni waovu.
...
Sjui nimeeleweka hapa.
nimekuelewa vizuri sana mkuu,thanks a lot for your contribution.Tatizo tu jibu hili linapingana na mafundisho ya imani yangu,ningekuwa muislam isingenisumbua lakini sie wakristo tunaamini majini wote ni evil,ni malaika tu ndio kuna wazuri na wabaya(mashetani).Sina uhakika kama biblia iko detailed na suala la aina za mapepo,majini n.k. labda mwenye ujuzi wa biblia anielekeze.Hata hivyo kuna jambo naligundua kila siku kwenye maisha,kwamba inaelekea ukweli unasimama wenyewe,hautegemei kitu kingine chochote,so unapoutafuta lazima uwe free minded sana ili kuelewa.Ngoja nilifanyie kazi na hili la majini wazuri na wabaya kujua ukweli wake na kama bible inasapoti.Thanks a lot mkuu Mashaxizo
Last edited by a moderator: