"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!

"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!

Hii kitu inakanganya kimtindo ila ngoja tuichukulie ilivyo. Ndg Pasco kwanza shkamoo (maana najua unanizidi ki umri)
Nina vijimaswali hapa na corrections
1. Corrections
B. Maria hakuwatokea wale watoto wa Fatima Lurd Ufaransa bali Fatima Ureno. Ufaransa huko Lurd alimtokea Bernadeta.
-Karismatic Katoliki si kwa ajili ya kuzuia watu wasihame ukatoliki bali ni uamsho uliotokea miaka ya 1960s na lengo likiwa na kuamsha ile nguvu ya kipaimara. Ni aibu mkristu unabatizwa, unapata kipaimara halafu unazilalia nguvu/vipawa vya Roho Mt badala ya kuvitumia, hivyo waanzilishi walimuomba Mungu sana aamshe nguvu hiyo na real ikaamka. Hii ilitokea chuo kimoja kikuu kimoja. Basi hii ilipelekwa hoja kwa Papa nae baada ya uchunguzi na sala za kina akaruhusu huu upyaisho/uamsho ktk katoliki. Hivyo huu ni utume pia na huduma yenye kibari cha Roho Mtakatifu.
- Kitu kingine- Yesu ndiye nguvu yenyewe na huweza kufanya mema kadri ya utashi wake. Nikimuita Yesu kwa kuamini nguvu yake basi nafanikiwa ombi langu.

2. Maswali
Mimi huwa nasikia kitu moyoni hasa ktk mpira. Mf Ile mechi ya Simba na Ruvu JKT nilisikia mshituko fulani moyoni nikajua tayari Simba itafungwa japo huwa sijui kwa gori ngapi. Hii hunitokea karibu kila mechi, moyo ukitulia najua timu ninayoitaja itashinda au itatoa droo. Hii hunitokea hata ktk kupoteza vitu, moyo ukistuka hata sijisumbui kutafuta, ukitulia basi nakipata.
Pasco what is this kind of power?

Nimewahi kufanya healing activities na kweli mtu hupona ila sharti awe na Imani.
Pamoja!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Juzi nimeota navuta bangi, kiukweli nimeacha kutumia hii kitu kitambo. Nilipoamka niliikumbuka ndoto nikaipotezea. Saa tatu nikaenda kunyoa ndipo nilipojistuki jicho jekundu isivyo kawaida. Pasco kunalolote umaweza niambia. Nilichoandika ni ukweli wanajamvi msidhani naleta utani ni ukweli kabisa
Mkuu Shingta, hiyo ni ndoto tuu, mtu unaweza kuota unakimbia, au unapigana, au unaanguka, ukiamka unajikuta unahema na jasho linakutoka, au unaota unalia, ukiamka unakuta machozi, hivyo kuota unapuliza, then kujikuta macho mekundu its normal.
Pasco.
 
Hii kitu inakanganya kimtindo ila ngoja tuichukulie ilivyo. Ndg Pasco kwanza shkamoo (maana najua unanizidi ki umri)
Nina vijimaswali hapa na corrections
1. Corrections
B. Maria hakuwatokea wale watoto wa Fatima Lurd Ufaransa bali Fatima Ureno. Ufaransa huko Lurd alimtokea Bernadeta.
-Karismatic Katoliki si kwa ajili ya kuzuia watu wasihame ukatoliki bali ni uamsho uliotokea miaka ya 1960s na lengo likiwa na kuamsha ile nguvu ya kipaimara. Ni aibu mkristu unabatizwa, unapata kipaimara halafu unazilalia nguvu/vipawa vya Roho Mt badala ya kuvitumia, hivyo waanzilishi walimuomba Mungu sana aamshe nguvu hiyo na real ikaamka. Hii ilitokea chuo kimoja kikuu kimoja. Basi hii ilipelekwa hoja kwa Papa nae baada ya uchunguzi na sala za kina akaruhusu huu upyaisho/uamsho ktk katoliki. Hivyo huu ni utume pia na huduma yenye kibari cha Roho Mtakatifu.
- Kitu kingine- Yesu ndiye nguvu yenyewe na huweza kufanya mema kadri ya utashi wake. Nikimuita Yesu kwa kuamini nguvu yake basi nafanikiwa ombi langu.

2. Maswali
Mimi huwa nasikia kitu moyoni hasa ktk mpira. Mf Ile mechi ya Simba na Ruvu JKT nilisikia mshituko fulani moyoni nikajua tayari Simba itafungwa japo huwa sijui kwa gori ngapi. Hii hunitokea karibu kila mechi, moyo ukitulia najua timu ninayoitaja itashinda au itatoa droo. Hii hunitokea hata ktk kupoteza vitu, moyo ukistuka hata sijisumbui kutafuta, ukitulia basi nakipata.
Pasco what is this kind of power?

Nimewahi kufanya healing activities na kweli mtu hupona ila sharti awe na Imani.
Pamoja!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mkuu Jumong, kwanza asante kwa story ya Lourdes, Fatima na Wanakarismatic.
Hiyo ya mpira inaitwa "sixth sense, machale!, kwa kawaida huwatokea watu wote makini, kabla ya jambo baya kutokea, unakuwa pre alerted, warned!.

Wengi wenye kufanya mazoezi ya matial art mfano judo, karate, kung-fu, tie kwando etc, wanakuwa kwenye very high state of alert, hivyo wewe kutokana na kuipenda sana Simba, kila ikicheza unakuwa kwenye high state of alert, hivyo kama itakula kipigo, unajulishwa kabla!. Ukiendeleza hicho kipaji kwa kufanya meditation, unaweza kufikia stages za juu, mtu akija kwa nyuma unamuona!, na hata ukiwa usingizini vipi, mwizi akiingia tuu kwako unastuka, unaamka etc!. Unakuwa hudanganyiki, mtu akikudanya, unajua!.

Hongera kwa kipaji cha uponyaji!, kiendeleza zaidi kipaji hicho, ila usiishie kwenye uponyaji tuu, kielekeze kwenye kutafuta pia!.
Pasco
 
Mkuu Jumong, kwanza asante kwa story ya Lourdes, Fatima na Wanakarismatic.
Hiyo ya mpira inaitwa "sixth sense, machale!, kwa kawaida huwatokea watu wote makini, kabla ya jambo baya kutokea, unakuwa pre alerted, warned!.

Wengi wenye kufanya mazoezi ya matial art mfano judo, karate, kung-fu, tie kwando etc, wanakuwa kwenye very high state of alert, hivyo wewe kutokana na kuipenda sana Simba, kila ikicheza unakuwa kwenye high state of alert, hivyo kama itakula kipigo, unajulishwa kabla!. Ukiendeleza hicho kipaji kwa kufanya meditation, unaweza kufikia stages za juu, mtu akija kwa nyuma unamuona!, na hata ukiwa usingizini vipi, mwizi akiingia tuu kwako unastuka, unaamka etc!. Unakuwa hudanganyiki, mtu akikudanya, unajua!.

Hongera kwa kipaji cha uponyaji!, kiendeleza zaidi kipaji hicho, ila usiishie kwenye uponyaji tuu, kielekeze kwenye kutafuta pia!.
Pasco
Asante kwa maelezo mujarabu my comrade Pasco;
Kuna ka hali kengine huwa sikaelewi elewi, "I don't feel pains when others die" ni kweli siwezi hata chinja kuku ila mtu akifariki huwa sipati ule uchungu wa ndani ati. Wengine wanapolia mi nakuwa normal kabisa. What kind of power is this?
Kuna kitu umeikiinua hapa upande wa miujiza, kumbe ukiamini fulani ana nguvu then zile gates za nguvu iliyo ndani mwako ndo zinaperfom healing! Hii kitu nimeisoma ktk kitabu kimoja cha Mwl C Mwakasege (I admire this man so much for his teachings) nimegundua kuwa alikuwa anaongelea hizi powers, thanks Pasco!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mimi ni mtu wa dini sana lakini huwa napenda ku-open my learning field ili niongeze kitu na kuna ukweli ktk hii kitu unayofundisha hapa. Cha msingi ni kuisoma with positive altitude na ku-question pale usipoelewa na ukiona hukubaliani na majibu basi baki na imani yako na chukua yale unayoona yana ukweli na kukufaa ktk field uliyopo (maana haiwezekani mtu mmoja kujua au kuamini yote duniani).
Pasco
Sio siri hiyo nguvu ya kubashiri vitu na kutokea sijawahi kuitumia ktk kujiendeleza kimaisha. For your expirience in which path should I take to use my power?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Samahani wakuu na hasa Pasco,pamoja na ugeni wangu hapa jamvini lakini katika mada iliyopita juu power ya ponyaji na kujua nguvu tulizo niliwah kuuliza swali ambalo sikujibiwa,kwa kua inanionyesha wazi tunaelewa na tuna nguvu tofauti tofauti nikataka kujua juu ya ishara za macho,nikisema hivi watu wengi wanajua macho ya wanadamu mala kadhaa hucheza kwa mtetemo eitha upande wa juu ya jicho au chini ya jicho,na nimekua nikisikia tafisili tofauti juu ya hili,kwamba ukichezwa na jicho upande wa juu huashilia mambo mema na furaha maishani mwako,mambo ambayo yajayo,lakini pia jicho likicheza upande wa chini huashilia mabaya hasa vifo au mabalaa mengi katika maisha yajayo,swali langu ni Je jambo hili linaukweli katika hayo yasemwayo?na kama ni kweli utaweza vipi kutumia nguvu za uponyaji na miujiza kuzuia hayo mabaya yajayo?nisaidie Pasco na yeyote mwenye mwanga juu ya hili
 
nimeipenda mada husika,Nitaisoma baadae hii, ngoja nifanye kazi za watu nitarudi punde.
 
Wanabodi,

  1. Faith Healing, ni uponyaji kwa kutumia imani!. Ambapo ule uponyaji huitwa muujiza. Hitoria ya kupona kwa miujiza ilianza zamani na sehemu kubwa ilijikita katika dini!, huko mimi siendi. Lengo la uzi huu ni kukujulisha wewe kuwa miujiza yoyote inayotokea, inawezekana kwa uwezo ilio ndani ya mtendewa muujiza na sio mtenda!.
Natanguliza Shukrani.

Pasco.

Ndugu Pasco:

Nashukuru kwa mada hii ambayo imejaa utatanishi mwingi kwa jinsi ambayo umefikia jibu na kuacha uhalisi wa lisemwalo au wa neno la kimbinguni. "IMANI".

Imani si neno ya kidunia kama wengi wenu mnavyo fahamu. Ndio maana inakuwa ngumu kuelewa imani ni nini kwa kutumia akili za kawaida. Imani ni uhakikisho na au kuwa na uhakika wa jambo/mambounayo yatarajia. Kitu cha msingu hapa ni "EVIDENCE" ambayo unayo kabla ya kushika unacho tarajia.

Umedai kuwa, katika maneno yenye rangi nyekundu. Muujiza inawezekana kwa uwezo wa ndani ya mtendewa muujiza na sio metnda. Haya madai yako si kweli kabisa.

MUUJIZA WA RAZARO:
Hebu rejea Muujiza wa Lazaro wa Bethany. Je, alipo kufa na Yesu kumfufua kutoka kifo, nani aliye kuwa na imani? Razaro aliye "KUFA" au Yesu aliye "MFUFUA? Rejea Yohana 11: Aya 38-43.

NIKUPE MFANO MWINGINE:
Je, Yesu alipo walisha wale watu Elfu 5. Nani aliye kuwa na imani pale? Yesu au wale Elfu tano. Hebu rejea kwenye Mataya 14: anzia aya ya 16-21. Utagundua kuwa ni Yesu ndie aliye amini alicho kuwa anafanya na sio Mtendewa kama ulivyo dai Ndugu Pasco.

Basi leo nimeonelea tusome hiyo mifano miwiliiliyo hai.

Nitaendelea kuchangia mada kama ulivyo iweka.

Nashukuru
 
You have the powers!.Pasco

Pasco:

Nategemea unaelewa kuwa, there are two sources of Power.

1. Source ya kwanza ni Mungu.
2. Source ya Pili ni Shetani.

Now how do you get and or acquire power from either of the two sources?

Let me explain myself hereunder:

There are dual sources of supernatural power in the visible and invisible world.

The first source is made up of God, Jesus Christ, and the Holy Spirit; they represent the forces for good.

The second source of supernatural power is from Satan and his angles known as demons or sometimes Jinns. They represent the forces for evil in the diabolical world.

The term "supernatural" means something that your mind or intellect can not comprehend or above the laws of nature. If something is truly supernatural and cannot be attributed to God and the power under His control, it must be attributed to Satan and the power under his control. FYI: There is no neutral supernatural power. There is no white magic and there are no friendly ghosts.

If a happening or phenomenon is supernatural and cannot be explained by the laws of nature, the source of power is on a short list. It is either of God or of Satan.

I hope my friend Pasco you are with me in this.

Lets learn together and grow in the Knowledge of Him.


 
pasco maiti inapoombewa then ikafufuka nini kinatokea?kulingana na somo lako la imani kwenye uponyaji.
 
Ndugu Pasco:

Nashukuru kwa mada hii ambayo imejaa utatanishi mwingi kwa jinsi ambayo umefikia jibu na kuacha uhalisi wa lisemwalo au wa neno la kimbinguni. "IMANI".

Imani si neno ya kidunia kama wengi wenu mnavyo fahamu. Ndio maana inakuwa ngumu kuelewa imani ni nini kwa kutumia akili za kawaida. Imani ni uhakikisho na au kuwa na uhakika wa jambo/mambounayo yatarajia. Kitu cha msingu hapa ni "EVIDENCE" ambayo unayo kabla ya kushika unacho tarajia.

Umedai kuwa, katika maneno yenye rangi nyekundu. Muujiza inawezekana kwa uwezo wa ndani ya mtendewa muujiza na sio metnda. Haya madai yako si kweli kabisa.

MUUJIZA WA RAZARO:
Hebu rejea Muujiza wa Lazaro wa Bethany. Je, alipo kufa na Yesu kumfufua kutoka kifo, nani aliye kuwa na imani? Razaro aliye "KUFA" au Yesu aliye "MFUFUA? Rejea Yohana 11: Aya 38-43.

NIKUPE MFANO MWINGINE:
Je, Yesu alipo walisha wale watu Elfu 5. Nani aliye kuwa na imani pale? Yesu au wale Elfu tano. Hebu rejea kwenye Mataya 14: anzia aya ya 16-21. Utagundua kuwa ni Yesu ndie aliye amini alicho kuwa anafanya na sio Mtendewa kama ulivyo dai Ndugu Pasco.

Basi leo nimeonelea tusome hiyo mifano miwiliiliyo hai.

Nitaendelea kuchangia mada kama ulivyo iweka.

Nashukuru

That is why hapo juu nilisema Yesu ndo nguvu yenyewe itendayo mema na si kuwa eti ni catalyst! Yesu/Mungu ndiyo power na ndie source ya power zote zitendazo mema! Hiyo mifano yako yote inaashiria kuwa Yesu/Mungu aliye nguvu ndiye aliyemfufua Lazaro na kuwalisha chakula wale watu 5000
Vile vile enzi za akina Eliah waliita nguvu hii na kutenda miujiza. Mfano ule muujiza wa kupaa mbinguni kwa farasi wa moto, nguvu za Mungu ndizo zilimchukua na si nguvu za Elia ndani yake kuwa ndizo zilimchukua!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Samahani wakuu na hasa Pasco,pamoja na ugeni wangu hapa jamvini lakini katika mada iliyopita juu power ya ponyaji na kujua nguvu tulizo niliwah kuuliza swali ambalo sikujibiwa,kwa kua inanionyesha wazi tunaelewa na tuna nguvu tofauti tofauti nikataka kujua juu ya ishara za macho,nikisema hivi watu wengi wanajua macho ya wanadamu mala kadhaa hucheza kwa mtetemo eitha upande wa juu ya jicho au chini ya jicho,na nimekua nikisikia tafisili tofauti juu ya hili,kwamba ukichezwa na jicho upande wa juu huashilia mambo mema na furaha maishani mwako,mambo ambayo yajayo,lakini pia jicho likicheza upande wa chini huashilia mabaya hasa vifo au mabalaa mengi katika maisha yajayo,swali langu ni Je jambo hili linaukweli katika hayo yasemwayo?na kama ni kweli utaweza vipi kutumia nguvu za uponyaji na miujiza kuzuia hayo mabaya yajayo?nisaidie Pasco na yeyote mwenye mwanga juu ya hili
Mkuu G, mwili wetu una sehemu kuu mbili, mwili na roho, mambo ya powers yanahusika na roho tuu na sio mambo ya mwili, huku kutingishika jicho ni mambo ya mwili, hayana uhusiano wowote na powers, ila kuna wengi hutumia miili as powers channels, and it works for them kwa sababu tuu, wameamini hivyo!.

Mfano kuna watu wakisali, wengine husimama, wengine hupiga magoti, wengine huinama, wengine hulala kifudifudi, wengini hutazama chini, wengine hutazama juu, wengine hufunga mikono, wengine hunyoosha mikono etc, hayo yote ni mambo ya mwili, have got nothing to do with powers, ila kwa vile umeaminishwa ukifanya hivyo ndipo Mungu atakusikia then kwa kufanya hivyo, kunakufungulia imani yako, hivyo kuifungua ndani yako!.

Kwa asiyejua lolote kuhusu kucheza cheza jicho, hata licheze vipi, nothing happens!. Ukiisha aminishwa jicho likicheza juu inakuwa mambo super, jicho linapocheza juu, imani yako ndio inayofunguka kutokana na wewe kuamini hivyo, hivyo kuyafanya mambo yako kuwa supper!. Likicheza chini, imani yako inafunguka kwa negative power, hivyo zinaact on you kukuletea majanga!, kila kitu ist all in you!.

Hata watu wanaologwa, only kama unaamini unalogeka, ndipo ukilogwa ulozi unakufika na kukuathiri!, kama huamini uchawi, unakuwa haulogeki!, hivyo hata waloge vipi, uchawi haukufikii!.

Vivyo vivyo kwenye kuugua, ukiamini na kufungulia powers za imani, ukiamini hauugui, hauugui, mimi nina 20years now, hospitali siijui, save for the baccident only!.

Powers ndio kila kitu, powers zote za kufanya kila kitu tunazo, tumepewa bure, kuzitumia ni bure, bila masharti yoyote!, ni wewetuu!.

Pasco.
 
Ndugu Pasco:

Nashukuru kwa mada hii ambayo imejaa utatanishi mwingi kwa jinsi ambayo umefikia jibu na kuacha uhalisi wa lisemwalo au wa neno la kimbinguni. "IMANI".

Imani si neno ya kidunia kama wengi wenu mnavyo fahamu. Ndio maana inakuwa ngumu kuelewa imani ni nini kwa kutumia akili za kawaida. Imani ni uhakikisho na au kuwa na uhakika wa jambo/mambounayo yatarajia. Kitu cha msingu hapa ni "EVIDENCE" ambayo unayo kabla ya kushika unacho tarajia.

Umedai kuwa, katika maneno yenye rangi nyekundu. Muujiza inawezekana kwa uwezo wa ndani ya mtendewa muujiza na sio metnda. Haya madai yako si kweli kabisa.

MUUJIZA WA RAZARO:
Hebu rejea Muujiza wa Lazaro wa Bethany. Je, alipo kufa na Yesu kumfufua kutoka kifo, nani aliye kuwa na imani? Razaro aliye "KUFA" au Yesu aliye "MFUFUA? Rejea Yohana 11: Aya 38-43.

NIKUPE MFANO MWINGINE:
Je, Yesu alipo walisha wale watu Elfu 5. Nani aliye kuwa na imani pale? Yesu au wale Elfu tano. Hebu rejea kwenye Mataya 14: anzia aya ya 16-21. Utagundua kuwa ni Yesu ndie aliye amini alicho kuwa anafanya na sio Mtendewa kama ulivyo dai Ndugu Pasco.

Basi leo nimeonelea tusome hiyo mifano miwiliiliyo hai.

Nitaendelea kuchangia mada kama ulivyo iweka.

Nashukuru
Mkuu Schiendler, kwanza tukubaliene yale ya msingi kuwa binadamu ni mwili na roho!. Mtu anapokufa kinachokufa ni mwili tuu, roho haifi!. Wengi wetu knowledge yao, inagotea kwenye mafundisho ya dini zao tuu!. Hivyo knowledge ya Christianity mwisho wake ni pale tuu kwenye death!, na hawafundishi tena beyond death, hiyo roho inakwenda wapi, na inafanya nini?!.

Baada ya kifo cha Lazaro, kilichokufa ni mwili tuu, roho yake ilikuwepo na iliamini wish ya Yesu, ikaurudia mwili, akafufuka!.

Ila pia, kwa vile Mungu ni Power, na Jesus ni Mungu, then Jesus is Power!.

Powers ninazozizungumza hapa ni "Powers from within" zinazofanya kazi ndani yako and for you!, na sio powers from without zinazofanya kazi towards you kama muujiza wa mikate mitano na samaki wawili, kuna muujiza wa mikate ya mana kutoka mbinguni, kuna muujiza wa bahari ya Sham kufunguka wana Isarael walipopita tuu, ikafunga na kuwameza Wamisri!.

Nasisitiza nguvu za uponyaji ziko ndani yetu!, anachofanya yule anayekufanyia maombi, ni kuzifungulia tuu!.

Pasco.
 
That is why hapo juu nilisema Yesu ndo nguvu yenyewe itendayo mema na si kuwa eti ni catalyst! Yesu/Mungu ndiyo power na ndie source ya power zote zitendazo mema! Hiyo mifano yako yote inaashiria kuwa Yesu/Mungu aliye nguvu ndiye aliyemfufua Lazaro na kuwalisha chakula wale watu 5000
Vile vile enzi za akina Eliah waliita nguvu hii na kutenda miujiza. Mfano ule muujiza wa kupaa mbinguni kwa farasi wa moto, nguvu za Mungu ndizo zilimchukua na si nguvu za Elia ndani yake kuwa ndizo zilimchukua!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Jumong!, tangu mwanzo nimesema Tumeumba na Mungu, na ndie aliyetupatia hizo nguvu za Uungu ndani yetu!.
Kwa waumini wa Holly Trinity, Yesu pia ni Mungu na Roho Mtakatifu ni Mungu!. Kwa vile God is Power, Jesus is Power and Holly Spirit is Power!.

Kwa vile Mungu ameumba wote, wanaomwamini na wasio mwamini, hizo powers amezigawa kwa wote wanao mwamini na hata wasio mwamini na zinafanya kazi kwa wote, umwamini au usimwamini!.

Mfano mimi ni Mkristu, namwanini Mungu, nikizitumia kwa Jina la Mungu, Yesu au Roho Mtakatifu, zitafanya kazi!.
Yule Msukuma wa Mashokholokubangashee, anaamini jiwe ndie Mungu wake, akiomba kwa jina la jiwe, atafanikiwa!, anayeamini hewa, anayeamini mti, anayemini jua, anayeamini mwezi, anayeamini, mlima, anayeamini kisima, maji, moto, ng'ombe, mzimu, manyanga, whatver unachoamini, ufunguo wa power ni imani, zinafunguka na kufanya mambo!.

Nguvu hizo zinapotumika kufanya mema, ni nguvu za Mwanga, zinapotumika kufanya uovu, zinakuwa ni nguvu za giza!.
Pasco
 
Thanks mkuu Pasco,nimeanza kuelewa vyema juu kucheza kwa macho haya,sasa naona kile nilichokua nafikilia
 
Lakini pia mkuu Pasco ni namna ipi na ninaweza kustart vipi nguvu hizi kuzifanya ziniletee maendeleo kiuchumi?by the way natambua napaswa kuanza na kuamini kwamba I can do but nashindwa kwamba naanzaje kutiisha jambo fulani litokee katika maisha yangu?kwa kukaa katika utulivu na kumwita muumba wa vyote au kwa kauli zipi na matendo yapi yatakayosababisha kupata kile nachohitaji?Please Pasco
 
Mkuu Schiendler, kwanza tukubaliene yale ya msingi kuwa binadamu ni mwili na roho!. Mtu anapokufa kinachokufa ni mwili tuu, roho haifi!. Wengi wetu knowledge yao, inagotea kwenye mafundisho ya dini zao tuu!. Hivyo knowledge ya Christianity mwisho wake ni pale tuu kwenye death!, na hawafundishi tena beyond death, hiyo roho inakwenda wapi, na inafanya nini?!.

Baada ya kifo cha Lazaro, kilichokufa ni mwili tuu, roho yake ilikuwepo na iliamini wish ya Yesu, ikaurudia mwili, akafufuka!.

Ila pia, kwa vile Mungu ni Power, na Jesus ni Mungu, then Jesus is Power!.

Powers ninazozizungumza hapa ni "Powers from within" zinazofanya kazi ndani yako and for you!, na sio powers from without zinazofanya kazi towards you kama muujiza wa mikate mitano na samaki wawili, kuna muujiza wa mikate ya mana kutoka mbinguni, kuna muujiza wa bahari ya Sham kufunguka wana Isarael walipopita tuu, ikafunga na kuwameza Wamisri!.

Nasisitiza nguvu za uponyaji ziko ndani yetu!, anachofanya yule anayekufanyia maombi, ni kuzifungulia tuu!.

Pasco.

Pasco:

Binadamu ni mukusanyiko wa Mwili, Nafsi na Roho. Nimeongezea nafsi ambayo umeicha kwenye jibu lako.

Ni kweli kabisa Roho haifi wala hailali usingizi!!!! Nategemea ulisahau kusema kuwa ROHO HUWA HAILALI USINGIZI. Hivyo basi Mtu ambaye ndie Roho, huwa anaishi ndani ya Mwili ambao hauwezi kuwa hai bila ya Roho yenye uhai. NOTICE "ROHO YENYE UHAI". Kwanini nimeweka msisitizo wa Roho yenye UHAI, ni kwasababu kuna aina Mbili za Roho. Roho yenye uhai NA Roho ya mauti. Rejea Ufunuo 20:14. Kumbe basi hata mauti nayo ni Roho!!!!! Watu wengi hawafamu hilo kuwa MAUTI NI ROHO.

Kwahiyo kilicho tokea kwa Lazaro wa Bethany ni hiki: Lazaro ambaye ni Roho alihama kutoka kwenye mwili wa Lazaro, ndio maana huwa tunasema" MWILI WA MAREHEMU FULANI" Kwasabau "FULANI" amehama kutoka katika huo mwili na kwenda sehemu nyingine.

Sasabasi, Yesu alipo muita Lazaro njoo, NOTICE " YESU ANATUMIA JINA LA LAZARO" Na hakusema wewe mwili fufuka! Kilicho tokea hapo ni kuwa, Lazaro ambaye ni Roho alirudi kwenye mwili wake na ILE ROHO YA MAUTI ikabidi iondoke. Ndio maana nilipinga madai kuwa Mpokeaji Muujiza ndie awe mwamini" mwenye imani".

Kwahiyo Ukristo unayo mafundisho mengi sana ambayo yanahusu maisha baada ya kifo. Labda hilo ni SOMO la kipekee na tungelijalidli hapa, if that wont change mwelekeo wa hii mada.

SASA NARUDI KWENYE POWER THAT IS WITHIN:
Ningependa utupe undani wa maneno yako kabla sija changia nini hasa maana ya "POWER THAT IS WITHIN' Naomba vile vile utueleze hiyo within ipo wapi na ni nini?

Nashukuru Manangwa Pasco.
 
That is why hapo juu nilisema Yesu ndo nguvu yenyewe itendayo mema na si kuwa eti ni catalyst! Yesu/Mungu ndiyo power na ndie source ya power zote zitendazo mema! Hiyo mifano yako yote inaashiria kuwa Yesu/Mungu aliye nguvu ndiye aliyemfufua Lazaro na kuwalisha chakula wale watu 5000
Vile vile enzi za akina Eliah waliita nguvu hii na kutenda miujiza. Mfano ule muujiza wa kupaa mbinguni kwa farasi wa moto, nguvu za Mungu ndizo zilimchukua na si nguvu za Elia ndani yake kuwa ndizo zilimchukua!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hereunder are some of the attributes of God which are the names of Jesus!!🙂
ALMIGHTY: (Revelation 1:8) I am Alpha and Omega, the beginning and the ending, saith the Lord, which is, and which was, and which is to come, the Almighty.
MIGHTY GOD: (Isaiah 9:6) For unto us a child is born, unto us a son is given: and the government shall be upon his shoulder: and his name shall be called Wonderful, Counsellor, The mighty God, The everlasting Father, The Prince of Peace.
CREATOR: (John 1:3) All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
 
Pasco asante kwa mada nzuri, mi kuna jambo linanitatiza kuna msibs nilienda marehemu alitengana na mmewe kwa miaka 15 kabla hajafa aliwaambia watoto wake azikwe kwa babaake mzazi.
Alivyokufa mme akadai huyo ni mkewe halali na walifunga ndoa RC hawakutalikiana so mme akashinda kesi lakini cha ajabu jeneza halikuingia kaburini! Wazee wakamuomba marehemu akubali kuzikwa kwa mmewe lakini wakiliingiza kwa kaburi haliingii. Wakaamua basi akazikwe kwa babake cha ajabu jeneza lilishuka kaburini bila tatizo. Sasa je marehemu alikuwa anaona anapozikwa ndio anakataa?
 
Back
Top Bottom