Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Me nimeelewa.nimewaza mbali brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nimeelewa.nimewaza mbali brother
![]()
Mwamba hajawa mkweli 100%, Yeye anatakiwa aseme kuwa amemchoka huyu Mama anaruka na vibinti vidogo, hajali tena iliyokuwa ndoa yao.
Katika vitu ambavyo huwezi kushare openly ni Mke, Kama umefikia hatua ya kuzungumza hadharani kuwa umemruhusu mke akaliwe na jamaa wengine maana yake nini? Ndoa haipo tena, Uhusiano umebaki kama mtu na dada yake.
Yule yuko Bomba kuliko JADA, Sema Will anapenda wanawake wafupi.Na sasa hivi Jada alivyonyoa kipara Will anamuona mwezie.......tena sasa hivi ukaribu na first wife umekolea tofauti na kule nyuma.
Nasikia akina yello ni fresh tuMmh wewe ulishasikia mume anamruhusu mchepuko kumla mkewe huku Afrika?
Wengi wanashindwa kusema ukweli unaopelekea kutalakiana kwa mgawanyo wa mali. Wakiachana hawa Jada ataondoka na mzigo wa maana katika divorce settlement.![]()
Mwamba hajawa mkweli 100%, Yeye anatakiwa aseme kuwa amemchoka huyu Mama anaruka na vibinti vidogo, hajali tena iliyokuwa ndoa yao.
Katika vitu ambavyo huwezi kushare openly ni Mke, Kama umefikia hatua ya kuzungumza hadharani kuwa umemruhusu mke akaliwe na jamaa wengine maana yake nini? Ndoa haipo tena, Uhusiano umebaki kama mtu na dada yake.
Hii ndo ukweli wa mambo.... wanamake hela tuu hawaConfused celebrity...
Mradi wapate followers na kick..
Wabaki na spotlight...
Mtu anavuta madawa halafu anaenda kufanya interview kuelezea madawa yalivyo muathiri..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaahSema uyo Alsina nae kama shoga flani sijui kama anampelekea moto wakutosha uyo bibi
Mwisho wa siku mnaishi maisha feki, Will Smith nahisi yule Baby Mama wake sijui kama alimwacha mazima?Wengi wanashindwa kusema ukweli unaopelekea kutalakiana kwa mgawanyo wa mali. Wakiachana hawa Jada ataondoka na mzigo wa maana katika divorce settlement.
YaaaniEdit uzi wako, umerudia aya na kuufanya kuwa mrefu bila sababu
Nadhani itakuwa vita ya tatu ya dunia.Mmh wewe ulishasikia mume anamruhusu mchepuko kumla mkewe huku Afrika?
I like your thinkingUmeiweka vizuri 'Confused Celebrity' wana-push agenda yao ya ovyo. Wanajaribu ku-justify kufeli kwao.
Dawa za presha, vidonda vya tumbo na kukosa usingizi soko lake litakufa!Naomba hii aina ya ndoa ije na huku kwetu wallah.
Kuwa +Alafu ikisha kuja ili ugundue nini kwa mfano yaani?