Will Smith amtandika kibao Chris Rock usiku wa tuzo za Oscar

Mm navyojijua kwanza ningehamaki afu pili ningemkwida mwamba yani mpaka mabaunsa wangeingilia baada ya kuamliwa ningerusha matusi ya hatari......
 
Yah na Chris hakutegemea angepigwa kofi pale.na Smith akapiga makelele usimtanie mke wangu kabisa achana nae.

Ila Chris mvumilivu sana yaani kapigwa neno la kwanza akasema wow
Kuna watu wana uvumilivu aisee
Na bado kakubali ataacha kumtaja Jada [emoji23]
 
Dah! Ila watu weusi wanaongea Sana daah jamaa Kama cherehani
 
Sura za mshangao [emoji23][emoji23]
Waigizaji wenyewe wakaona ohooo kumbe kweli


 

Kile naona ni a desperate attempt from a man seeking validation from a woman that undermines him publicly

Huyu mwanamke kamchanganya sana mshkaji anafanya mambo ya ajabu sana
 
Ila Chris mvumilivu sana yaani kapigwa neno la kwanza akasema wow
Kuna watu wana uvumilivu aisee
Na bado kakubali ataacha kumtaja Jada [emoji23]
Mzee ,Prince of Bel air ni Icon zamani sana Beverly Hills.
Sasa Chris mtu mdogo sana kwake.
Chris kabaki katoa macho hajaamini.
Na kakubali kwamba simtaji tena Bro.
 
Hahahaha.

Wengine tunaogopa kuua hadharani..yani unaweza muangalia mtu ukasema kabisa hapa nikimuadhibu huyu ninamuua, linapokuja suala la wife, NINAUA....bora kuua KICHAWI, ila hadharani ni kesi, mara jela miaka 60 huko.

Ata kichawi utatafuta na wewe na ata ukwepe vipi siku utajaa. Njia ya kumshinda adui ni kumjaza hofu tuu
 
Kile naona ni a desperate attempt from a man seeking validation from a woman that undermines him publicly

Huyu mwanamke kamchanganya sana mshkaji anafanya mambo ya ajabu sana

Sana. Huyo manzi kamfanya jamaa awe fala kichizi. Khmshambulia mchizi was very unnecessary.
 
Huyo mke alimkuta bikra? Au alikuta wakulungwa washajipigiaga doggy style kitambo[emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…