Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Ingekuwa bongo tungesema Jada kampa limbwata SmithKuhusu mke wangu nitakuvunja hata kiuno bila kujali eneo la tukio au hadhira iliyotuzunguka.
Safi sana Will Smith.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa bongo tungesema Jada kampa limbwata SmithKuhusu mke wangu nitakuvunja hata kiuno bila kujali eneo la tukio au hadhira iliyotuzunguka.
Safi sana Will Smith.
Wabongo ni ng'ombeIngekuwa bongo tungesema Jada kampa limbwata Smith
Kuhusu mke wangu nitakuvunja hata kiuno bila kujali eneo la tukio au hadhira iliyotuzunguka.
Safi sana Will Smith.
Kuna mbuzi zingeona aibu kusimama na wake ili tu waitwe wastaarabu.Hili linajulikana mbele ya mke kila mmoja ana nguvu [emoji23][emoji23]
Yani hapo pia wazungu wamepata umbea yani nikutusema sasa yaangalieni manniger walivyo.Aliyepigwa kibao anaweza kutengeneza hela ndefu tu kwenye hilo tukio lililomfika.
Kwasababu anamdharau will Smith mke wake anagongwa hovyo hovyo hadi na vijana wadogo halafu yeye anaonaga poa tu ndo maana huyu zelenskyy kamdharauIla nimeangalia hawakuwa wanaigiza hawa kweli maana licha yakupigwa kibao akawa anaendelea kuchekesha
King Bach mjinga sana 🤣🤣
Amedhalilisha tasnia ya filamu.Utani mbaya. Mc mkali wa huko Usa Chris rock kajikuta na aibu baada ya kupigwa kibao na Mshindi wa tuzo ya Oscar ; Will smith baada ya kumtania mkewe Jada pinkett smith. Utani mbaya ulomfanya Smith anyenyuke toka alipokaa hadi mbele ya stage na kumpiga bonge la bao.
Alivorudi kukaa Smith akamuambia '' Get out my wife's name out of your fxxking mouth''
Aisee. Uzi tayari View attachment 2166607 View attachment 2166606
Looks real as hell.Its staged
Thats why they are called proffessionals.Looks real as hell.
Kuna mbuzi zingeona aibu kusimama na wake ili tu waitwe wastaarabu.
Ishu sio kampiga ishu ni huyo mch3keshaji kas3maje mpaka apigwe ?Tena kamsitiri sana kumpiga kibao tu
Huo mkono angempiga ngumi jamaa angevunjika taya [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini police wataliangalia hili
Na hapa watakuwa wamefanikiwa 100% kwa sababu hii moment imeenda viral kinyama.Hii ni kuipa upekee Oscar ya 2022.