HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,893
- 3,640
Hahaha umeua hahahahaMbele ya Mademu... Alisema deogratias kuwa eti.
Hata Yesu alipigwa kabebeshwa msalaba akina magdalena wakaja kumlilia na kumpa pole, akaona hawezi kuwa mnyonge mbele ya mademu, akawambia mbona mimi fresh, jililieni nyinyi na watoto wenu akakaza.
Ila alipofika kwa wana akina petrol, akawambia petrol nimechoka hawa mbwa wataniua nisaidie msalaba. [emoji1787][emoji1787]