Na sikufaidi tu bali wanakula asali na wameshaacha kuchovya. Born town anapiga makofi kama Mayele anapokuwa kafunga goli, Papa papa.Nchi imechukuliwa na born town, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafaidi mema ya [emoji208] ja [emoji3069].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeeeehNa sikufaidi tu bali wanakula asali na wameshaacha kuchovya. Born town anapiga makofi kama Mayele anapokuwa kafunga goli, Papa papa.
Upo sahihi kabisaNani asiyejua kuwa alionewa?
Unamtoa Lukuvi unamweka fisadi Ridhiwani jambazi kuu wa ardhi?
Nani asiyejua kazi kubwa aliyofanya LukuviLukuvi aliiheshimisha wizara ya ardhi sana.
Nimegudua wanasiasa hawana utashi wa kuwahudumia wananchi 100%
Alichofanya rais ni mfano tosha kuwa hayuko siriaz kuona wananchi wakipata huduma bora.
A. Lukuvi
B. Kalemen
Hawa ndugu mapengo yao yanaonekana.
Majasho na nguvu walizozitoa kututumikia Mungu atawalipa.
Bila huruma tumwletewa MAGARASHA...Makamba na Riz moja ili waje kujitajirisha tu.
Gawaneni ma udongo wa nchi hii ikiwezekana tulipie jua na hewa...
Mambo haya ya fitina hutuondolea uzalendo...watu huanza kutafuna nchi wakijua hata wakijituma ni bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nakufa kwa kucheka, ndungai nae ana matashtiti na manjonjo, hasa kwenye ishara ya kukonyeza anavofanya huo mkono sasa. Mweeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawaida tyuii.Wewe wewe yaani wote unawajulia
Umetishaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Una sense of humour nimekupenda kwa hilo [emoji112][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawaida tyuii.
Afu Ndugai mbna bungeni haonekan, ni mtoro sugu eeeh
Kwa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda yupo sehemu salama
Who knows [emoji848][emoji848]
Kosa la Ridhiwani ni lipi hata uje hapa kuldhalilisha? Baba yake kuwa Rais wa nchi kwa awamu ile ni kosa. Mbona mnakufuru wazi wazi?! Alichukua kitu gani ambacho wewe unao ushahidi usiotia shaka? Madhali Ridhiwani ni Mtanzania, na anaao sifa za kuwa Kiongozi wacheni aongoze. Hizi roho mbaya haziwezi kukusaidia wewe. Usirithi chuki.Nani asiyejua kuwa alionewa?
Unamtoa Lukuvi unamweka fisadi Ridhiwani jambazi kuu wa ardhi?
Nani asiyejua kazi kubwa aliyofanya LukuviLukuvi aliiheshimisha wizara ya ardhi sana.
Nimegudua wanasiasa hawana utashi wa kuwahudumia wananchi 100%
Alichofanya rais ni mfano tosha kuwa hayuko siriaz kuona wananchi wakipata huduma bora, kwa kuwaondoa;
A. Lukuvi
B. Kalemen
Hawa ndugu mapengo yao yanaonekana.
Majasho na nguvu walizozitoa kututumikia Mungu atawalipa.
Bila huruma tumwletewa MAGARASHA...Makamba na Riz moja ili waje kujitajirisha tu.
Gawaneni ma udongo wa nchi hii ikiwezekana tulipie jua na hewa...
Mambo haya ya fitina hutuondolea uzalendo...watu huanza kutafuna nchi wakijua hata wakijituma ni bure.
Watu wengine sio lazima mchangie humu. Unakuja hapa kupaka watu uchafu so what? Mbona ardhi inakwenda vizuri sana.Yaani unatengua Lukuvi unaweka Rithwani. Hii ni dharau ya kiwango cha juu sana
Chuki tu.....Kosa la Ridhiwani ni lipi hata uje hapa kuldhalilisha? Baba yake kuwa Rais wa nchi kwa awamu ile ni kosa. Mbona mnakufuru wazi wazi?! Alichukua kitu gani ambacho wewe unao ushahidi usiotia shaka? Madhali Ridhiwani ni Mtanzania, na anaao sifa za kuwa Kiongozi wacheni aongoze. Hizi roho mbaya haziwezi kukusaidia wewe. Usirithi chuki.
πWatu wengine sio lazima mchangie humu. Unakuja hapa kupaka watu uchafu so what? Mbona ardhi inakwenda vizuri sana.
Kwa kuwa aliahidiwa kuwa WAZIRI MILELE......Mpuuzi, yeye Lukuvi ndiye aliyekuwa na hakimiliki ya uwaziri wa ardhi!
Halafu ebu angalia chuki zako unamtaja Ridhiwan kwani yeye ndiye aliyechukua nafasi ya Lukuvi, aliyechukua nafasi ni aliyekuwa naibu wake.
Halafu hilo Lukuvi liwe linatosheka ameingia serikalini toka enzi za Mwinyi 1994 baadaye akaendelea wakati wa Mkapa, Kikwete na Magufuli hatosheki tu?
πKama ni kweli, mshaurini mzee Lukuvi aende Dodoma, wenzake wanajadili bajeti sasa hivi. Aliomba kazi ya ubunge sio uwaziri.
πAjiajiri huko au anazuga kwamba maisha magumu.
Amekuwa Waziri for more than 10yrs. Amekuwa ktk nafasi za juu kwa muda mrefu.
Anatuzuga tu
πKwani bila uwaziri hawezi kuishi? Mbona watu kibao wako mitaani na mishemishe zao na maisha yanaenda? Atulie aendelee na hicho kilimo na ubunge wake.
Na ana vigezo gani vya kumshinda Lukuvi?Kosa la Ridhiwani ni lipi hata uje hapa kuldhalilisha? Baba yake kuwa Rais wa nchi kwa awamu ile ni kosa. Mbona mnakufuru wazi wazi?! Alichukua kitu gani ambacho wewe unao ushahidi usiotia shaka? Madhali Ridhiwani ni Mtanzania, na anaao sifa za kuwa Kiongozi wacheni aongoze. Hizi roho mbaya haziwezi kukusaidia wewe. Usirithi chuki.
Sawa tu,mbona bwana yule Azina alimuweka mtoto wa dada yake ili wakwapue vizuriRiz anapasha muda wowote anashika hatamu, dada atahamishwa au atasubiri kupangiwa kazi nymgine.
We kweli mbbbwa ,kwani huyo Mumeo Lukuvi kazaliwa hawe waziri?! Hivi nyie mmerogwa? Dikteta ameharibu kweli mentality zenu kkkkenge nyieNa ana vigezo gani vya kumshinda Lukuvi?
Ana sifa gani ya ziada iliyomfikidha hapo?