William Lukuvi anajishghulisha na nini kwa sasa?

William Lukuvi anajishghulisha na nini kwa sasa?

shetani hawezi kubadirika akawa kwa maana dhambi ni yake daima, hivi hapo Ridhiwani kakosa nini dhihirisha ubaya wake ili hukumu iwe juu yake. Tubadirike chuki haitakusaidia utapata pressure bure na utaitibu kwa gharama kubwa.
Utasikia mtu anasema bila ushahidi, “tunaambiwa ni fisadi.” Ukimuuliza una ushahidi? Utasikia “majumba yote makubwa Dar na mikoa mikubwa ni ya kwake.” Una ushahidi na umiliki wa hayo majumba? Utasikia, “kila mtu anasema.”
kaaazi kweli kweli, ndio maana hear say evidence haikubaliki!!!
 
Nani asiyejua kuwa alionewa?
Unamtoa Lukuvi unamweka fisadi Ridhiwani jambazi kuu wa ardhi?

Nani asiyejua kazi kubwa aliyofanya Lukuvi?

Mambo haya ya fitina hutuondolea uzalendo...watu huanza kutafuna nchi wakijua hata wakijituma ni bure.

ridhiwani, january, nape mnauye wapo kwenye mainfesto ya ccm hata kabla 2015, wakijipangaga membe awe rais alafu hao mayai matatu waingie kwenye incubator (uwazirini)hadi kufikia 2025 moja wao atotolewe kuwa rais. Kundi la Masai ndani ya ccm lika TOBOA TOBO mgombea akawa magufuriii..walihahaa usiwaone walimkampenia, ilikuwa hamna jinsi....walikabwa na kitu kwenye kolomelo huku wakipiga kampeni....sasa wamerudi "pole pole anasemaga---wahuniiiiii...."
 
Kweli kabisa hilo linawezekana hata kama analimisha yeye anaenda kama mtalii tu huko
Alikuwa anapenda makamera sasa mbona hatuyaoni au kwa sababu ni kwa gharama zake sasa

Labda Pinda tu ndio mkulima [emoji2957]
Hawa viongozi labda watawachezea wenye akili kama mleta mada hahaha

Ova
 
Huyo mzee ni mdini haswaa,,tokea ile speech ya kanisani dah bora ametengulia
 
Lukuvi kwa miaka yote iyo amefanya nini kwa iyo wizara ya ardhi...
 
Nyie mataila kweli , kwaiyo Ridhiwan ndio waziri wa Ardhi? Sasa na yule msukuma mwenzenu anatolewa pale
Riz anapasha muda wowote anashika hatamu, dada atahamishwa au atasubiri kupangiwa kazi nymgine.
 
Wewe kama umezaliwa dashlam utapeta sana awamu hii.

Ma tp wote wanatamba kwa sasa.
Kuna madogo fulani wawili wa mtaani wamechukua UPedejee sehemu mbili nyeti sana.

Hapo mtaani kwetu tu.
 
Lukuvi ndiye aliua mradi wa mabasi ya wanafunzi akishirikiana na fisadi mwenzake Guninita, asifikiri tumesahau
 
Upuuzi tu Jitu limeliwakuwa serikalin miaka nenda rudi harilidhiki na uzee huo!!. Afu utakuta linasema vijana wajiajiri wakati lenyewe haliwezi kuwa nje ya uongozi likaishi.
 
Asaivi kuna shida ya rais wa 2025 au.2030 kuingia mkiristo.hivyo kunaumuhimu wa kuanza kuwachunguza kwa makini wakristo.walioko madarakani wataoonekana wana chembechembe za kutamani urais lazima aenguliwe mapema.
UJINGAA
 
Sisi tuliambiwa Lukuvi na mwenzake Kabudi walikuwa wanatishia nafasi ya mama 2025, sasa yeye anasema hajui kosa lake wakati lilisemwa hadharani!
 
Nchii Rais anaweza kuteua na kumtengua yoyote wakati wowote na bila sababu kasoro CAG au Majaji.


Rais anaweza Kumtengua yeyote BILA SABABU??!!---- kinyume chake anaweza pia kumteua yeyote BILA SABABU !!, inawezekana hiyo??!!🤣
 
Hii Dunia sijui vipi; Maana walioshibishwa ndio walio mstari wa mbele Julia lia njaa wakati mipango yao inapokuwa ndio sio!

Hata Kama alionewa, Hivi kati yake na Mama au Baba yako kule kijijini, ni anapaswa kulalamikia mvua kugoma au hata maisha magumu?!
 
Back
Top Bottom