Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu,uliza ufahamishwe kenge weweNyie mataila kweli , kwaiyo Ridhiwan ndio waziri wa Ardhi? Sasa na yule msukuma mwenzenu anatolewa pale
Nchii Rais anaweza kuteua na kumtengua yoyote wakati wowote na bila sababu kasoro CAG au Majaji.
Safi Sana kama ana hati miliki na kaonewa safi Sana ngoja anyookeNani asiyejua kuwa alionewa?
Unamtoa Lukuvi unamweka fisadi Ridhiwani jambazi kuu wa ardhi?
Nani asiyejua kazi kubwa aliyofanya Lukuvi?
Mambo haya ya fitina hutuondolea uzalendo...watu huanza kutafuna nchi wakijua hata wakijituma ni bure.
Rais anatengua hadi Speakey😀😀😀😀Kwa Tz hata CAG alitenguliwa wacha kabisa nchi yetu maana Rais anafanya anavyotaka
Ila huyu jamaa kuna laana aliifanya na alistahili hilo
Tena alime kwa meno who cares
Hili suala limemfanya majaliwa kurudi nyuma kiutendaji maana alishapigia hesabu 2025Asaivi kuna shida ya rais wa 2025 au.2030 kuingia mkiristo.hivyo kunaumuhimu wa kuanza kuwachunguza kwa makini wakristo.walioko madarakani wataoonekana wana chembechembe za kutamani urais lazima aenguliwe mapema.
Kiaje? Kutenguliwa na Rais ni kuonewa?Ila alionewa...
Akupooze wewe,Lukuvu anakusaidia nini? Ana u spesho gani hasa ? Mataahira hamtakaa muisheKile alichoambiwa atakifanya hicho cheo hakipo. Ile geresha kutupooza wabongo ksbb ya kupiga kelele sana Lukuvi kuachwa kwenye baraza
Ajiajiri huko au anazuga kwamba maisha magumu.
Amekuwa Waziri for more than 10yrs. Amekuwa ktk nafasi za juu kwa muda mrefu.
Anatuzuga tu
Rais anatengua hadi Speakey[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wakristo huwa ni mashetani Kazi yao kuharibu maisha.Asaivi kuna shida ya rais wa 2025 au.2030 kuingia mkiristo.hivyo kunaumuhimu wa kuanza kuwachunguza kwa makini wakristo.walioko madarakani wataoonekana wana chembechembe za kutamani urais lazima aenguliwe mapema.
Tuliwahi kutukanana sana humu siku moja. Kwa hapa nakuunga mkono.Nani asiyejua kuwa alionewa?
Unamtoa Lukuvi unamweka fisadi Ridhiwani jambazi kuu wa ardhi?
Nani asiyejua kazi kubwa aliyofanya Lukuvi?
Mambo haya ya fitina hutuondolea uzalendo...watu huanza kutafuna nchi wakijua hata wakijituma ni bure.
Na kwanini tulitukanana mkuuTuliwahi kutukanana sana humu siku moja. Kwa hapa nakuunga mkono.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapishana na tonge mdomoni.Hili suala limemfanya majaliwa kurudi nyuma kiutendaji maana alishapigia hesabu 2025
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila lukuvi ananifurahisha akibinua mdomo wake, yaan mbavu cna.Matapeli tu hao wamekula na bado hawashibi
Wamejiwekea ardhi kibao wacha wasome sheria na katiba sasa walizozikanyaga
Magu alipokuwa anamtaja hadharani alivyokuwa anabinua mdomo sasa [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila lukuvi ananifurahisha akibinua mdomo wake, yaan mbavu cna.
Alijibu huku akicheka mtu akadaka ikaja huku!Kwani bila uwaziri hawezi kuishi? Mbona watu kibao wako mitaani na mishemishe zao na maisha yanaenda? Atulie aendelee na hicho kilimo na ubunge wake.
Kuna siku alikua na kikao cha kuhusu wizara yake, sasa kaongea kamaliza, afu mwingne akafuata kuongea, sijui alimuudhi nn, lukuvi akabenua mdomo afu mkono wake akauwekaje na kumalizia sonyoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama samaki eti
Asaivi kuna shida ya rais wa 2025 au.2030 kuingia mkiristo.hivyo kunaumuhimu wa kuanza kuwachunguza kwa makini wakristo.walioko madarakani wataoonekana wana chembechembe za kutamani urais lazima aenguliwe mapema.